The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 1,140
- 1,944
Usiku wa mtoko wa pasaka matukio mengi yamefanyika kichawa sana
tulitegemea iwe sehemu ya kuusifu utukufu wa Mungu kwa kumtoa mwanaye wa pekee aliyetukomba kwa msalaba dhidi ya madhambi yetu lakini unasikia kwaya inamsifu Rais Samia na kuimba apewe mitano tena, hovyoo



