Kwanini tusiboreshe viwanda ili ajira zipatikane?
Kwanini tusiboreshe viwanda ili ajira zipatikane?
Degree ambazo zina umuhimu niKwahivyo usome procurement degree halafu uje kusomea umeme VETA? Kwanini usisomee umeme moja kwa moja VETA ukaishia nta level 3? Na ndoto yako kuingia University ikaishia hapo? Kama ni hivyo hizi procurement na uandishi wa habri ziondoshwe kozi hizi vyuoni?
Kila course ina umuhimu wake, procurement ni muhimu sana ktk Taasisi. Ufisadi mwingi unapitia hapaDegree ambazo zina umuhimu ni
Education
Engineering
Course zote za Afya.
IT na mambo ya computer yote
Marketing and sales
Law
Accountant
Tofauti na hapo usipoteze muda kusoma maana mambo ya procurement au HR hizo sio course zlizobaki zipatikane VETA
TAALUMA MPYA TANZANIAKwahivyo usome procurement degree halafu uje kusomea umeme VETA? Kwanini usisomee umeme moja kwa moja VETA ukaishia nta level 3? Na ndoto yako kuingia University ikaishia hapo? Kama ni hivyo hizi procurement na uandishi wa habri ziondoshwe kozi hizi vyuoni?
Hahahaaa.TAALUMA MPYA TANZANIA
1. Bachelor of Accountancy and Welding?
2. Bachelor of Finance and Motor vehicle Wiring
3. Diploma of Finance and Tyre Check up
4. Certificate of Computer Science and Guta driving
5. Diploma of Accountancy and Oil changing
6. Certificate of Computer Science and Chips Preparation
7. Civil Eng, Hair Dressing & Beauty
Wanabodi,
Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea,
Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni Paulina Chuma, Fundi Chuma!
View: https://youtu.be/hrFHfkk06Wk
Utafiti wangu mdogo, umebaini, hawa wasomi waliokwenda kusoma VETA, ndio wanaofanya vizuri zaidi sokoni, kuliko wasomi plain wa chuo kikuu au mafundi plain wa VETA, kwasababu hawa wana kitu cha ziada!, wanafanya ufundi kisomi zaidi, na wamefanikiwa zaidi kuliko VETA plain!.
Paskali
Hii Kazi sio mpaka uakisomee kila mtu anaweza kuifanya is wasting of money and timeKila course ina umuhimu wake, procurement ni muhimu sana ktk Taasisi. Ufisadi mwingi unapitia hapa
Jee ni faida au hasara mtu ukiwa na degree ukiongezea ujuzi wa fani nyingine? Na jee ukibaki na hiyo degree yako ukawa unaamka asubuhi unaingalia tu halafu unarudi kitandani kulala itakupatia mkate mezani?Ukishamaliza huko Veta nani anakupa Mtaji ufungue Workshop au wanafikiri ni rahisi km kunywa maji ya Uhai?
MISSION IMPOSSIBLE.Pasco naomba ufanye mahojiano na mtoto wa kiongozi yoyote wa juu hapa nchini ambaye amesoma VETA😌
Wanabodi,
Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea,
Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni Paulina Chuma, Fundi Chuma!
View: https://youtu.be/hrFHfkk06Wk
Utafiti wangu mdogo, umebaini, hawa wasomi waliokwenda kusoma VETA, ndio wanaofanya vizuri zaidi sokoni, kuliko wasomi plain wa chuo kikuu au mafundi plain wa VETA, kwasababu hawa wana kitu cha ziada!, wanafanya ufundi kisomi zaidi, na wamefanikiwa zaidi kuliko VETA plain!.
Paskali
Hizo hapo ni fani za kitaaluma tayari.Najaribu kufikiria mtu aliyesoma Engineering, Law, Medicine, Dentistry, na au Pharmacy eti anakwenda VETA.
Sasa ataongoza vipi biashara ambayo hana?Business Admin
Wenzenu tunafikiria jinsi ya kujikwamua kutoka kwenye mkwamo nyie mnafikiria tuwape kura zetu na ambazo hatutawapa mtajipa, zenu ni zenu, zetu ni zenu!Thanks for this, watu humu ni wazito sana kuelewa, tusaidiane kuwaelewesha mpaka waelewe, na inapofika ile tarehe, mtu ni Unachukua...
Unaweka...
Malizia ....
P
Mimi nilisoma VETA pale walikuwa wanakuja wakufunzi wa chuo kikuu wa fani mbali mbali wanasoma Short course hasa za Refrgeration na wanarudi chuo kikuu. Walikuwa na wazuri kwenye theory lakini tatizo lilikuwa kwenye vitendo. Ingawa na waalimu wa veta nao huwa wanatoka vyuo vikuu au wanakwenda vyuo vikuu kuongeza ujuzi zaidi. Mtu aliye maliza grade one VETA ni mzuri zaidi kwenye utendaji wa kazi mtu aliye toka Chuo kikuu ni mzuri sana kwenye usimamizi na ubunifu. Kwahiyo kila mmoja anaumuhimu wake ktk soko ra ajira ingawa wachina wao wanataka watu ambao ni wazuri zaidi ktk kufanya kazi kuliko usimamizi na Graduate ya mpaka awe mzuri ktk huo usimamizi nilazima na yeye awe amefanya kazi si chini ya miaka mitatu.Kwenda VETA siyo shida, swali ni VETA inatoa elimu bora kuliko Chuo kikuu? Kama ndiyo watunga sera wanasubiri nini kufuta vyuo vikuu au waboreshe mitaalama? Yaani tuache wafanye design Power plant? Au hydropower plant?
Nakubaliana nawe Kaka, vijana wengi wahitimu wa fani zote wazuri sana mdomoni mpe kazi sasa utafurahi na roho yakoWasomi lengwa wa mjadala huu, ni wale wasomi waliosomea fani za white color jobs, ndio wanaopaswa kuja VETA, sio watu wa technical.
Ila pia kuna muajiri ametoa ushuhuda, wasomi wengi wa engeneering level ya chuo kikuu, ni wazuri kwenye theory, kukuchorea engeneering design etc, but when it comes to practical, hakuna kitu!, hawa ma technicians wa VETA, wanawakimbiza balaa!.
P
Wanabodi,
Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea,
Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni Paulina Chuma, Fundi Chuma!
View: https://youtu.be/hrFHfkk06Wk
Utafiti wangu mdogo, umebaini, hawa wasomi waliokwenda kusoma VETA, ndio wanaofanya vizuri zaidi sokoni, kuliko wasomi plain wa chuo kikuu au mafundi plain wa VETA, kwasababu hawa wana kitu cha ziada!, wanafanya ufundi kisomi zaidi, na wamefanikiwa zaidi kuliko VETA plain!.
Paskali
Kuwa na adabu kdg mtt ws 2000Mnataka kutumia nguvu kubwa sana kuhalalisha upumbavu wa juha mmoja alievimbiwa Makande ya kodi za wananchi makapuku.
Kuwa makini bibie, unaweza kuta mimi ni baba yako.Kuwa na adabu kdg mtt ws 2000
Wanabodi,
Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea,
Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni Paulina Chuma, Fundi Chuma!
View: https://youtu.be/hrFHfkk06Wk
Utafiti wangu mdogo, umebaini, hawa wasomi waliokwenda kusoma VETA, ndio wanaofanya vizuri zaidi sokoni, kuliko wasomi plain wa chuo kikuu au mafundi plain wa VETA, kwasababu hawa wana kitu cha ziada!, wanafanya ufundi kisomi zaidi, na wamefanikiwa zaidi kuliko VETA plain!.
Paskali