utakaa vip ikiwa kwanza ulishalamba advance ukija unakatwa ile advance unabakna lak 3. hujahemea hujatoa naul.umeme kod kichw lazm kibastMishahara yenyewe hata wakitoa Leo kuisha ni dakika sri tu kama bao la mbakaji...
Na wanavyouchelewesha madeni yanazidiutakaa vip ikiwa kwanza ulishalamba advance ukija unakatwa ile advance unabakna lak 3. hujahemea hujatoa naul.umeme kod kichw lazm kibast
Nguvu za kiume zinatoka wapi Kwa staili hiyoutakaa vip ikiwa kwanza ulishalamba advance ukija unakatwa ile advance unabakna lak 3. hujahemea hujatoa naul.umeme kod kichw lazm kibast
Hata wasio na ajira wanateseka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utakaa vip ikiwa kwanza ulishalamba advance ukija unakatwa ile advance unabakna lak 3. hujahemea hujatoa naul.umeme kod kichw lazm kibast
Watu huwa wanapata faida kusema hivi hali anajua sio kweli au inaongeza followersCrdb kitu imetiki. Wahi
Mi badoCrdb kitu imetiki. Wahi
Mpaka mwambiwe serikali imefulia?Watu huwa wanapata faida kusema hivi hali anajua sio kweli au inaongeza followers
Yes, crdb hamnaMi bado
Wapi hukowenye malimbikizo mmekumbukwa 👍
Wizara Ya Ulinzi mbona Tayar Tangu Tarehe 17 ?Bila bila,leo watapata wizara ya ulinzi na mambo ya ndani
Yap,nilimaanisha mambo ya ndaniWizara Ya Ulinzi mbona Tayar Tangu Tarehe 17 ?
Au unazungumzia wapi hao
Kuwa na subira wahazini bado Wana hangover ya pasakaJaman bado tu naona dakika za jioniiii kabisa....
Ooh Hapo sawa maana Wanajeshi na Wizara ya Ulinzi ni Tangu tarehe 17 Kabla ya PasakaYap,nilimaanisha mambo ya ndani
Utoke usitoke mi naendelea KUUTUMIAMishahara yenyewe hata wakitoa Leo kuisha ni dakika sifuri tu kama bao la mbakaji...