Mambo bado mkuu tutakulipa usijaliwatumishi pateni mshahara basi mtulipe madeni yetu
Ndani ya siku mbili hizi...mambo yatakuwa freshhata makato bado hayajafanyika,
Kitombise tuvumilie wenyewe tunachungulia simbanking hovyo hakuna kitu!watumishi pateni mshahara basi mtulipe madeni yetu
msijali mzigo mnaupata keshoKitombise tuvumilie wenyewe tunachungulia simbanking hovyo hakuna kitu!
Bila bilaBado tu?
BadoWadau vipi mzigo bado au mimi wamenuruka
Hali ni ngumu kwa kweli vijana hawana kituSerikali wanaakili wangeweka mzigo last week vijana mngefanya fujo sana mtaani.
Unaidai jamhuriKuna polisi wa kike namdai hela yangu. Vipi, tayari huko? 😩