Msaada, namna ya kufuta course ajira portal

complexi

Member
Jul 6, 2021
72
91
Naomba kujuzwa namna ya kufuta course ambayo nimesave kwenye mfumo wa ajira portal.

Nimeweka level ya education ni diploma na nimesave but nikijaribu kufuta inakataa, lengo niombe kazi kwa kutumia level ya certificate na siyo Diploma.

Naomba mnisaidie kama kuna namna ya kufuta.
 
Watumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
Asee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)
 
Asee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)
Kwenye website yao kweny sehem ya mawasiliano pale kuna namba na e-mail yao ipo
 
Asee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)
email yao hii hapa ict@ajira.go.tz
 
Back
Top Bottom