Msaada: Kwa anayefahamu soko la asali

kimwasi

Member
May 10, 2015
19
0
Habari za majukumu,

Ningependa kujuzwa juu ya soko la asali kwa Dar es salaam, asali ni ya nyuki wakubwa kutoka Singida na ni asali mbichi.

Thanx in advance
 
Hapo Lita tano punguza bei, mteja ananufaika kadiri anavyonunua Kwa wingi na siyo anayenunua lita moja na anayenunua Lita tano wapate bei moja.
 
habarini za majukumu,ningependa kujuzwa juu ya soko la asali kwa dar es salaam,asali ni ya nyuki wakubwa kutoka singida na ni asali mbichi.thanx in advance

Una lita ngapi kwa jumla, na kwa mwezi ni lita ngapi unaingiza sokoni?
 
Ivi kusafirisha asali kunaitaji kbali?
una maanisha kusafirisha nje ya nchi ama?kama ni nje ya nchi yes bt uwe unapeleka kwa madhumuni ya biashara na mzigo uwe mkubwa kama unapeleka kama one litre kama zawadi no need ya kibali
 
Hata ndani ya nchi watataka vibali na usajili wake kwa maelezo ya vibali vyake fika kwa bwana nyuki wa wilaya au of is I ya maliasili wilaya husika ila najua kuwa kusafirisha Asali ni sawa na kusafirisha mbao au mkaa
 
Mzalishaji mkuu wa aslai kwa sasa ni Mh Pinda. unaweza kupata ushauri kuotoka kwa kwake lakini pia uchunge hii ni biashara yake kama ni kuuza hapa kidogo hakuna tatizo lakini kama unataka kufanya biashara hi kwa ukubwa wa kimataifa basi bora fanya siri
 
Mzalishaji mkuu wa aslai kwa sasa ni Mh Pinda. unaweza kupata ushauri kuotoka kwa kwake lakini pia uchunge hii ni biashara yake kama ni kuuza hapa kidogo hakuna tatizo lakini kama unataka kufanya biashara hi kwa ukubwa wa kimataifa basi bora fanya siri

Kwanini unasema hivi mkuu?
 
kusafirisha Asali ht humuhumu nchini lazima uwe na kibali cha maliasili na vibali vipya vinatoka mwez Wa saba..Mimi pia nauza Asali jumla na rejareja natoa Mkoa wa katavi nipo dar
 
Kwanini unasema hivi mkuu?

ni rahisi kila mtu analinda maslahi ya biashara yake isiingilwe na wengine...huu ndio msingi mkuu wa biashara
wewe leo ukijadai unaleta vi kontena vyako vya electronics na ikionekana unahatarisha masoko ya wakubwa utaishi kwa TBS..
 
Back
Top Bottom