Msaada: Kwa anayefahamu soko la asali

Tz kuna asali nyingi sn lkn ajabu unaambiwa watz sio walaji wa asali kabisa. Kwa kiasi kikubwa inasafirishwa nje ya nchi. Nadhani umefika wkt elimu kuhusu umuhimu wa kutumia na namna ya kutumia asali ifanyike.

FUATA NYUKI ULE ASALI AU FUATA NYUKI UPATE MANUNDU!!!!!!?????
 
Back
Top Bottom