Moja ya maeneo hatari nchi hii ni uwanja wa Benjamin Mkapa

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,268
Huu uwanja ni moja ya sehemu hatari sana kwa maisha ya watanzania. Wakati wa mazishi ya JPM inasemekana watu arobaini walifariki kwa kukanyagana. Hatujui majeruhi walikuwa wangapi. Jana wakati wa mechi ya yanga inadaiwa kafa mmoja na majeruhi thelathini. Bado hapo ambao hupigwa na askari karibu kila tukio, hupigana wao kwa wao na wanaookota nk nk.

Sijui kama zipo, lakini uwanjani hapo zifungwe kamera za usalama na kama kuna mafunxo maalumu ya kulinda mahali penye umati polisi wapewe. Maana polisi nao hamna kitu kabisa, kuna siku uwanja fulani kulitokea kashkashi wao wakapiga mabonu ya machozi. Jambo kama lile lingeweza leta mkanyagano na vifo.

Uwanja wa taifa si sehemu salama. Si vyema kwenda mpaka watakapohakikisha kuna usalama wa kutosha.
 
Kwanza mashabiki walinyeshewa mvua
Pili wakapigwa mitama na polisi
Tatu wakamwagiwa maji ya kuwasha
Na mwisho wakapigwa magoli

Maneno ya Oscar Oscar leo kipindi cha michezo😂😂😂
 
Huu uwanja ni moja ya sehemu hatari sana kwa maisha ya watanzania. Wakati wa mazishi ya JPM inasemekana watu arobaini walifariki kwa kukanyagana. Hatujui majeruhi walikuwa wangapi. Jana wakati wa mechi ya yanga inadaiwa kafa mmoja na majeruhi thelathini. Bado hapo ambao hupigwa na askari karibu kila tukio, hupigana wao kwa wao na wanaookota nk nk.

Sijui kama zipo, lakini uwanjani hapo zifungwe kamera za usalama na kama kuna mafunxo maalumu ya kulinda mahali penye umati polisi wapewe. Maana polisi nao hamna kitu kabisa, kuna siku uwanja fulani kulitokea kashkashi wao wakapiga mabonu ya machozi. Jambo kama lile lingeweza leta mkanyagano na vifo.

Uwanja wa taifa si sehemu salama. Si vyema kwenda mpaka watakapohakikisha kuna usalama wa kutosha.
Vitu vingine mnajitakia wenyewe tu, mtu una akaili timamu unakwenda kuishabikia Yanga uwanjani ili iweje? Yaani utoke nyumbani kwako kwenda kuishabikia Yanga, inakuja kichwani kweli?
 
Huu uwanja ni moja ya sehemu hatari sana kwa maisha ya watanzania. Wakati wa mazishi ya JPM inasemekana watu arobaini walifariki kwa kukanyagana. Hatujui majeruhi walikuwa wangapi. Jana wakati wa mechi ya yanga inadaiwa kafa mmoja na majeruhi thelathini. Bado hapo ambao hupigwa na askari karibu kila tukio, hupigana wao kwa wao na wanaookota nk nk.

Sijui kama zipo, lakini uwanjani hapo zifungwe kamera za usalama na kama kuna mafunxo maalumu ya kulinda mahali penye umati polisi wapewe. Maana polisi nao hamna kitu kabisa, kuna siku uwanja fulani kulitokea kashkashi wao wakapiga mabonu ya machozi. Jambo kama lile lingeweza leta mkanyagano na vifo.

Uwanja wa taifa si sehemu salama. Si vyema kwenda mpaka watakapohakikisha kuna usalama wa kutosha.
Acha kuhurumia wapumbavu unatumia vibaya ubongo wako
 
Tukio kama hilo
Inabidi wawepo polisi, FFU,Red Cross,watu wa afya
Ila wabongo wao wanapenda kuangalia Gate collection tu

Ova
 
Back
Top Bottom