Mkosoaji wa Serikali ‘aliyetekwa’ siku 5 zilizopita Mbeya apatikana Igunga

Huyu ni kibaka tu halafu mnampa umaarufu wa kuwa eti mkosoaji wa Samia?
Hata wewe Mdude_Nyagali unajifanya mkosoaji wa Rais Samia, unajifanganya tu. Ni viongozi wakuu tu wa CHADEMA akina Mbowe, Mnyika na Lissu ndiyo wanaeza wakajiita wakosoaji wa Samia lakini siyo nyinyi vidampa. Siasa hamuzijui ndiyo maana mnaishia kutukana.

Haya kamkague marinda huyo Mwamlima uone kama hajavuliwa ubingwa kama wewe ulivyovuliwa
Kibaka nani kathibitisha
 
Kinana anatamka kuwa under serikali yake ya ccm hakuna mtu mwenye haki ya kuteka au kuua,lakini bado yanafanyika!halafu ninashughudia kiongozi mkuu wa dini anaombea mtuhumiwa wa mauaji
We jamaa hivi unajua maana ya mtumishi wa Mungu. Yesu yupo kwaajili ya watu wasio wakamilifu kama wewe unajiona ni mkamilifu endelea kula maisha.
 
Huyu ni kibaka tu halafu mnampa umaarufu wa kuwa eti mkosoaji wa Samia?
Hata wewe Mdude_Nyagali unajifanya mkosoaji wa Rais Samia, unajifanganya tu. Ni viongozi wakuu tu wa CHADEMA akina Mbowe, Mnyika na Lissu ndiyo wanaeza wakajiita wakosoaji wa Samia lakini siyo nyinyi vidampa. Siasa hamuzijui ndiyo maana mnaishia kutukana.

Haya kamkague marinda huyo Mwamlima uone kama hajavuliwa ubingwa kama wewe ulivyovuliwa
Kukosolewa kunauma kwerikweri

Ova
 
Si mlisema haya mambo yalishakwisha tangu tarehe 21/3/2021?
Ilikuwa lazima yarudi kwani yule anajifanya anajua sana kumletea Rais kuliko wengine karudishwa kazini. Yule aliwahi sema Roma atapatikana Jumapili na kweli akapatikana.

Nchi hii ina vyeo vingi mpaka vya kuwakabidhi wendawazimu na wahalifu wanaostahili kuwa Gerezani.
 
Huyu ni kibaka tu halafu mnampa umaarufu wa kuwa eti mkosoaji wa Samia?
Hata wewe Mdude_Nyagali unajifanya mkosoaji wa Rais Samia, unajifanganya tu. Ni viongozi wakuu tu wa CHADEMA akina Mbowe, Mnyika na Lissu ndiyo wanaeza wakajiita wakosoaji wa Samia lakini siyo nyinyi vidampa. Siasa hamuzijui ndiyo maana mnaishia kutukana.

Haya kamkague marinda huyo Mwamlima uone kama hajavuliwa ubingwa kama wewe ulivyovuliwa

Mchango wa punguani kama huyu kwenye mada iliyopo unatia kinyaa.
 
Huyu ni kibaka tu halafu mnampa umaarufu wa kuwa eti mkosoaji wa Samia?
Hata wewe Mdude_Nyagali unajifanya mkosoaji wa Rais Samia, unajifanganya tu. Ni viongozi wakuu tu wa CHADEMA akina Mbowe, Mnyika na Lissu ndiyo wanaeza wakajiita wakosoaji wa Samia lakini siyo nyinyi vidampa. Siasa hamuzijui ndiyo maana mnaishia kutukana.

Haya kamkague marinda huyo Mwamlima uone kama hajavuliwa ubingwa kama wewe ulivyovuliwa
Na wewe unaamini una akili? Unajua kutumia keyboard tu!
 
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Kennedy Mwamlima aliyekuwa akikosoa utendaji wa Rais Samia katika mtandao wa TikTok amepatikana Igogo Igunga Tabora.

Kwa sasa anapelekwa hospital kwa sababu ana majeraha kwenye mwili wake ikiwemo mikononi. Tunamshukuru Mungu.

Asanteni wote mliopaza sauti.

View attachment 2965651View attachment 2965652
CCM ni ileile chama cha watekaji na wauaji
 
Huyu ni kibaka tu halafu mnampa umaarufu wa kuwa eti mkosoaji wa Samia?
Hata wewe Mdude_Nyagali unajifanya mkosoaji wa Rais Samia, unajifanganya tu. Ni viongozi wakuu tu wa CHADEMA akina Mbowe, Mnyika na Lissu ndiyo wanaeza wakajiita wakosoaji wa Samia lakini siyo nyinyi vidampa. Siasa hamuzijui ndiyo maana mnaishia kutukana.

Haya kamkague marinda huyo Mwamlima uone kama hajavuliwa ubingwa kama wewe ulivyovuliwa
Mliovuliwa ubingwa mnajuana
 
Back
Top Bottom