Mtunisia mweusi
Member
- Oct 19, 2023
- 45
- 58
- Thread starter
- #121
Islamicdini gani hio?
Islamicdini gani hio?
Leo huyu atanitambuaDaah nimecheka sana😃😀
Sasa picha zote hizo 71 za kalio hilohilo za nini
Kwani mara moja hawezi kupiga picha nyingihaiwezekani afunuliwe mara 71 bila kushtuka hata mara moja
huu ni uongo
Pole sana mkuu........Hii imenitoa hasira zaid leo nisilotangazwa kwnye habari sijui.
kulala kuangalia juu sio zambi zambi kulalia tumboIslamic
Sikoromagi na wala silali uchiUnalalaje unakoroma uchi matako wazi...
Aseee ntamtia kilemaIpo siku utayakuta TikTok
Hapana huyu inaonekana ni tabia yake maana nimekuta tarehe tofautiYalifunuliwa mara 1,picha zikapigwa 71
😂😂😂😂 Aisee nimecheka sanaNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Khaa!😁Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Umeshauriwa umuulize kwanini amekupiga hizo picha,,,na uliangalia kama kuna sehemu amezituma? Ukimuuliza majibu atakayokupa urejeshe hapa yatasaidia wengine watakao kutwa na kadhia ya aina hiyo.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Mwanaume unalalaje hadu unapigwa picha za makalioni hujuwi. Wanaume hawalali wanapumzika tena siyo kizembe hivyo kama unajifunika kanga vile. Umetukosea wanaume wenzako heshima. Funika tako unapo lala.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kwahio unavuliwa boksa hushtuki alo .... unalalaje ivyo jamaniKwann kanipoga
Nalala na boksa au buka nyepesi
Haya matukio yanatokea mikoa gani mbona wanaume tumekuwa wapole sana.Wanawake sijui wanaambiana nini kuhusu makalio yetu wakiwa kwenye vikao vyao. Kuna mwingine aliwahi kushtuka usiku akakuta mkewe ana mmulika na tochi matakoni.
FactiAseeh kama BRAZA CHOGO ndo zake huyu
Du huyo anataka approve kuwa ww ni pu.......zezeJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
mAtako yatapaukaje wakat wakat wote yapo ndani ya boksaNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
🤣🤣🤣🤣Dunia ina vitu na vituko hiki kikiwa kimojawapo
😂😂😂Una uhakika hayo matako ni yako?