Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,941
- 12,234
Ameeleza hayo wakati wa Mkutano wa Wananchi kuelezea kero zao ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Ofisi za Mkuu wa Mkoa, Mei 10, 2024 na kuongeza kuwa kuna kesi nyingi za ulawiti Muriet hasa zinazohusu Watoto na hakuna hatua zinzochukuliwa kama mzazi wa mhathirika hana hela.
Baada ya maelezo hayo, Makonda akasema “Mkuu wa Wilaya wa Arusha Jiji na OCD wa Arusha Jiji ninawapa Saa 24, watafute wahalifu na hatua kali za kisheria zichukuliwe, Askari waliotoa kauli ambazo si nzuri niwajue majina, OCD hakikisha ulinzi wa huru dada, RMO kote alikofanyiwa vipimo Mtoto nataka ripoti na Mtoto apewe Dawa aweze kupona.”