Zipo mechi ngapi!? Tupe code mzeeTreni linapepea tu.! Cashout nayo inatamanisha maana ni mtaji tosha ila wacha tukomae hadi mwisho.!
View attachment 2732143
Zipo mechi ngapi!? Tupe code mzeeTreni linapepea tu.! Cashout nayo inatamanisha maana ni mtaji tosha ila wacha tukomae hadi mwisho.!
View attachment 2732143
Code mzeeTreni no. 44 limeamka salama ila litapumzika mpaka alhamisi ambapo litapita kwenye vituo 7, ijumaa 2, jumamosi 4 na jumapili ni vituo 9. Abiria wote mnaombwa kuendeleza sala kiuminifu Ili tufike salama inshallah.
Sent from my itel A512W using JamiiForums mobile app
DF7498F - Zimebaki mechi 22 kati ya 44.Zipo mechi ngapi!? Tupe code mzee
Naomba code nilipandie njiani
Hongereni mliokaza..mimi nimeshuka njiani..ile treni ya timu 44
Tunalisubiria mkuumkuu nilipata safari ya kijijini kidogo mtandao huku shida, ila soon tutaendelea
307BEA6. Kwa wale wanaotaka kupanda tren la 44 sasa hv Bado vituo 22
Hongera Mlima SimbaWakuu hope mmeamka poa, kama kawaida Sisi watu wa MATRENI siku zote hatukati tamaa kwa sababu hatuna uwezo wa kustake laki au hata elfu kumi.
Kwa hivyo tunaishi kwenye Imani ya kuwa kuna SIKU Mia itatutoa kimaisha kwa kuweka MATRENI yetu ya DAR mpaka kigoma.
Sasa Leo nimeamka nimekuta wallet imenona kwa Mia Tu, ods elfu moja zimetiki mkeka nilicopy kwa wanigeria Huko .
Mia nimepata laki tatu ashukuriwe Mungu na kwa hivyo tusikate tamaa.
Mungu awabariki na mapambano yaendelee.
Nipo hapa
Ndio maana mimi nikishaweka mkeka naHuko Kenya kuna Mdau kashinda kesi kampuni ya Betika baada ya Betika kumbadilishia matokeo, wakaondoa timu ya wakubwa na kuweka ya watoto baada ya jamaa kushinda mkeka wa timu 8
Mahakama imeamuru alipwe hela alizoshinda na gharama za kesi.
Kesi imeanza February 2023
Sikulidandia hili treni, by the way sinaga uvumilivu ila treni zangu ni za mwendo kasi leo leo! Hazilali...Treni linapepea tu.! Cashout nayo inatamanisha maana ni mtaji tosha ila wacha tukomae hadi mwisho.!
View attachment 2732143
Umetisha kamanda, kweli ulituliza akili, rai kwa wanufaika wote wa treni hili watume kiasi kidogokidogo kwako ata upate supu kila asubuhiNipo hapa![]()
Sikulidandia hili treni, by the way sinaga uvumilivu ila treni zangu ni za mwendo kasi leo leo! Hazilali...
Ila leo nimewish nitengeneze treni la wiki 1 odds 100-250... Kuanzia mechi za kesho hadi jpili...
Ndio niko nalikoka treni hapa....
Ila kwa Mechi za leo kuna odds 3 tu, Uefa na efl cup nachek probability ya kutafuta mechi 2... nachambua zifike walau odds 4.20 tu
Hiyo ukiiweka hawawezi ku adilisha? Inakua kama unascreenshot au kuprint?Ndio maana mimi nikishaweka mkeka na
Hao majamaa wana ma IT wanaweza fanya lolote
Yeah anatakiwa alipwe ksh 500000 kwa pesa ya bongo 500000x18 jibu unaloHuko Kenya kuna Mdau kashinda kesi kampuni ya Betika baada ya Betika kumbadilishia matokeo, wakaondoa timu ya wakubwa na kuweka ya watoto baada ya jamaa kushinda mkeka wa timu 8
Mahakama imeamuru alipwe hela alizoshinda na gharama za kesi.
Kesi imeanza February 2023