Mkuu hiyo ninayoiona hainipi matumaini.Usikilize moyo wako mkuu, ila mechi bado mbichi sana, muda wa kubadilisha matokeo bado upo.
Tayari MkuuFfs just cashout man...hii aseno
![]()
Uoga wako utakuponza hii mechi arset anasawazisha mbonaWakuu nimechukua hela,naombeni Odds 6 ni rebet bado najifunza.View attachment 2521705
Hata chakukushauri nimekosaWakuu nimechukua hela,naombeni Odds 6 ni rebet bado najifunza.View attachment 2521705
Umekimbia vita mura! Dah Kuna kampuni sijui ni ipi hakuna mambo ya cashout, muhindi mkishaingia chumbani hakuna kuarisha mechi yaani piga ua garagaza lazima mmoja aliwe!Wakuu nimechukua hela,naombeni Odds 6 ni rebet bado najifunza.View attachment 2521705
AhahhahaUmekimbia vita mura! Dah Kuna kampuni sijui ni ipi hakuna mambo ya cashout, muhindi mkishaingia chumbani hakuna kuarisha mechi yaani piga ua garagaza lazima mmoja aliwe!
Acha asawazishe tu mkuu,heri nusu shariUoga wako utakuponza hii mechi arset anasawazisha mbona
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Umekimbia vita mura! Dah Kuna kampuni sijui ni ipi hakuna mambo ya cashout, muhindi mkishaingia chumbani hakuna kuarisha mechi yaani piga ua garagaza lazima mmoja aliwe!
Acha asawazishe tu mkuu,heri nusu shari
Na kasawazisha kweliAcha asawazishe tu mkuu,heri nusu shari
Utakuwa unakula hasara sana kwa mwendo huu kwa kukosa uvumilivu , dakika ya 69 Aston Villa 2 Arsenal 2 na huenda Arsenal akashinda hii gameWakuu nimechukua hela,naombeni Odds 6 ni rebet bado najifunza.View attachment 2521705
Hizo odds nilishaapa SIZIFUATIEti timu yenye 1.11 ndo imeharibu odds 17
Umekimbia vita mura! Dah Kuna kampuni sijui ni ipi hakuna mambo ya cashout, muhindi mkishaingia chumbani hakuna kuarisha mechi yaani piga ua garagaza lazima mmoja aliwe!