Sportykampuni gan?
Hiyoo ilikuwaga betpawa zamanii kidogo kabla hawajafanya mabadilikoHivi hii namba ya malipo 60124815...inatumiwa na kampuni gani
Ww unaweza stake 1M kwa odds 4 single bet???Mimi nina ujuzi wa beti kama zako zinatamanisha ila kilio kipo nje nje pigo moja linafuta faida yote uliyo pata kwa miketa 6 uliyo kulakwa sababu odds unazo chezea ni ndogo sana bora ingekuwa odds 4 ila kuweka milioni kwenye odds 1.34 ni risk kubwa tena kubwa sana
Nakuaminia ProffesorSingle bet.. kwa siku sikosi 400k to 600kView attachment 2496962View attachment 2496963View attachment 2496964View attachment 2496965View attachment 2496966View attachment 2496967View attachment 2496968View attachment 2496969View attachment 2496970View attachment 2496972View attachment 2496973View attachment 2496974View attachment 2496976View attachment 2496977View attachment 2496978
Ok shukrani.......na mm najua hvyo...sasa nimelipa hela..haijafika kweny betpawa yanguHiyoo ilikuwaga betpawa zamanii kidogo kabla hawajafanya mabadiliko
Ungetumia hii 445445Ok shukrani.......na mm najua hvyo...sasa nimelipa hela..haijafika kweny betpawa yangu
Wamebadili hiyo namba ukienda betpawa kuna maelezo ya jinsi ya kulipia.Hivi hii namba ya malipo 60124815...inatumiwa na kampuni gani
Inatakiwa kupunguza stake kidogoWw unaweza stake 1M kwa odds 4 single bet???
Hivi mkuu ikiwa juu ya magoli 4.5 timu ikashinda 4 umepata au umekosa?NIMERUDI KWA KISHINDOView attachment 2497381
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
lostHivi mkuu ikiwa juu ya magoli 4.5 timu ikashinda 4 umepata au umekosa?
Nielekeze basi inakuaje kuaje hapo?lost
ilitakiwa yapatikane magoli 5Nielekeze basi inakuaje kuaje hapo?
Hata hivyo ime Win so hua wanakadiria mfano ikiwa 4.4 4.3 hata akipata 4 kashinda ila ikiwa 4.5 ndio 5ilitakiwa yapatikane magoli 5