Miguel Gamond ni kocha aliyekuja kuvuruga maana halisi ya "kikosi kipana"

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,724
13,665
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
 
Kila Mwalimu na falsafa yake gamondi apewe muda tatizo lililopo Hana striker wa kumalizia mchezo nabi alikuwa na striker na karibu asilimia 96 ya mechi zote za nabi ,mayele hakupumzika .
Yanga inatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga lakini kina mzize ,Musonda hawazitumii ipasavyo .
Na kumbuka msimu wa kwanza champions league Nabi alitolewa mwanzoni kabisa .
 
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
Hakika Mudathiri, Sure Boy, Moloko
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
Kocha kipengele cha rotation anazingua sana. Vijana wapambanaji kama Mudathiri wanashindwaje kucheza, Sure Boy, Kibwana, Moloko. Timu inaonekana ya wale wale mwanzo mwisho. Mwisho wa siku hata huyo Max anaonekana kuchoka. Pumzisha max weka Mudathiri.
 
Hakika Mudathiri, Sure Boy, Moloko

Kocha kipengele cha rotation anazingua sana. Vijana wapambanaji kama Mudathiri wanashindwaje kucheza, Sure Boy, Kibwana, Moloko. Timu inaonekana ya wale wale mwanzo mwisho. Mwisho wa siku hata huyo Max anaonekana kuchoka. Pumzisha max weka Mudathiri.
AUCHO PIA KACHOKA MPAKA WAANZE KUUMIA.
 
Mashabiki siku zote hawaeleweki wanataka nini

Kipindi mnapigwa na Ihefu unakumbuka lawama zilikuwa kuhusu nini?

Wengi mlimshukia Kocha kwa kufanya rotation ya kikosi kwa kuwaweka benchi wachezaji wenu mnao wapenda.

Leo kocha anaweka hao wachezaji wenu mnao wapenda ambao mna amini ndio mhimili wa timu lakini bado mnakuja tena kumpa lawama kwanini hachezeshi wale wachezaji ambao hamkuwataka kwenye mechi ya Ihefu.

Hao ndio Gongowazi
 
Mashabiki siku zote hawaeleweki wanataka nini

Kipindi mnapigwa na Ihefu unakumbuka lawama zilikuwa kuhusu nini?

Wengi mlimshukia Kocha kwa kufanya rotation ya kikosi kwa kuwaweka benchi wachezaji wenu mnao wapenda.

Leo kocha anaweka hao wachezaji wenu mnao wapenda ambao mna amini ndio mhimili wa timu lakini bado mnakuja tena kumpa lawama kwanini hachezeshi wale wachezaji ambao hamkuwataka kwenye mechi ya Ihefu.

Hao ndio Gongowazi
POLE SANA KWA KUTOELEWA NILICHOKIANDIKA.
 
Mmesahau yule kipa metacha alivyo changia kutupoteza kwenye haya mashindano? Mmesahau kukosekana kwa mwamnyeto siku hiyo kulivyotucost? Mmesahau mechi ya ihefu hao akina mauya na sure boy walivopwaya na kusababisha kipigo? Alafu huyo mudathiri haendani na falsafa ya GAMOND yeye akiwa golini huwa anapiga mashuti hovyo hovyo ambayo huwa yanaenda juu usawa wa paa la mkapa stadium pia huwa anaenda mbele anasahau kurudi kwa wakati kwenye nafasi yake
 
Mmesahau yule kipa metacha alivyo changia kutupoteza kwenye haya mashindano? Mmesahau kukosekana kwa mwamnyeto siku hiyo kulivyotucost? Mmesahau mechi ya ihefu hao akina mauya na sure boy walivopwaya na kusababisha kipigo? Alafu huyo mudathiri haendani na falsafa ya GAMOND yeye akiwa golini huwa anapiga mashuti hovyo hovyo ambayo huwa yanaenda juu usawa wa paa la mkapa stadium pia huwa anaenda mbele anasahau kurudi kwa wakati kwenye nafasi yake
KWA HIYO GEMU ZOTE ILIZOPOTEZA YANGA NI KWA SABABU YA ROTATION YA SUREBOY NA MAUYA.
 
Huu ndio ukweli wale wote walioko pale ni cream ila kocha anazingua na mi niliona kocha ni average tangu ngao ya Hisani ila vile tunashinda basi ndio maana maneno yanakuwa machache
Ila kwa Sasa team imekuwa predictable sana
 
Huu ndio ukweli wale wote walioko pale ni cream ila kocha anazingua na mi niliona kocha ni average tangu ngao ya Hisani ila vile tunashinda basi ndio maana maneno yanakuwa machache
Ila kwa Sasa team imekuwa predictable sana
UPO SAHIHI MKUU.
 
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
Na hilo linamnyima matokeo,Nabi alikuwa anafanya sub wakati mwingine hatta mashabiki wanaogopa ila zilileta matokeo 🤔
 
Back
Top Bottom