Miguel Gamond ni kocha aliyekuja kuvuruga maana halisi ya "kikosi kipana"

Gamond akishindwa kufikia malengo ya Yanga afukuzwe tu.
Kumpangia kikosi na mbinu za kushinda mchezo ndani ya uwanja hiyo hapana.
 
Sure boy
Kibwana
Nkane
Faridi Musa
Moloko... Ndio basi tena... Hakika hili halina afya ya timu na mpira wetu!!. Kuna wakati nabii aliamua kumpiga bench Djuma Shaban, Yannick baada yakuona wanapandisha mabega juu hakujali umhimu wao alichojali n afya ya timu.Gamondi ameamua kukumbatia baadhi ya wachezaji wakati huo akiwapoteza waliokuwa wapo kwenye form Kama Mudathiri... Sure boy na pass bamia wajameeniii ndio basi tena..... 😒😒😒🙌
 
Tatizo la Yanga ni kujisahaulisha kwamba timu ilikua ikibebwa na Mayele, yule mwamba mara zote alikua akiibeba Yanga mabegani mwake. Na mara nyingi alipokosekana mayele timu ili-struggle kupata matokeo hivyo jukumu la kuamua mechi lilibakia kwa Feisal feitoto, kwa lugha nyepesi mayele alikuwa akificha madhaifu ya wachezaji wenzie. Now that he's gone, hiyo mnayoita rotation hata ikifanyika itakua ni bure tu kwakuwa Yanga haina kikosi kipana bali imejaza wachezaji wengi ambao ni average.

Ukitaka uelewe nini namaanisha angalia margin ya magoli ambayo yanga ilikuwa ikifunga kipindi cha mayele, karibia kila mechi yanga inashinda goli 1 au 2 na mfungaji mayele itokee sana afunge mtu mwengine.

Kwa sasa kidogo wanajitahidi kugawanya magoli akina Azizi ki, Nzengeli,Pacome wanajaribu kufunga funga magoli. Sasa ukisema uwatoe hao wanao kufungia magoli aingie sureboy na mauya mnataka timu ishuke daraja ?.
Waambie hao ma mbwa

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe nae lipumbavu kweli, striker wa nini na hapa tunaongelea rotation ya wachezaji, kocha analeta matabaka kwenye team, watu hata sub hawapewi, wewe na kocha wote wapumbavu.
Sisi tunataka matokeo benchi la ufundi na Mkurugenzi wa ufundi ndiyo wanajua namna gani ushindi unapatikana hayo mambo ya kumpangia kocha sio yanga ya sasahivi labda huko timu nyingine .

Mchezaji akipumzika siku 3 Mpaka 7 kabla ya mechi inatosha kabisa .

Sasahivi yanga ipo ki professional zaidi kocha anapewa uhuru wa kazi yake na hii ipo Kwenye vipengele vya mkataba , Kocha amesaini mkataba kuipa yanga ushindi na sio kufanya rotation ya wachezaji au kuingiliwa majukumu yake .

hakuna hata mchezaji mmoja hakuchezeshwa na gamondi ukianzia kaizer chief , ngao ya jamii Mpaka ligi .
 
Mimi naona tatizo kubwa la Yanga lipo pale mbele. Kiukweli washambuliaji wetu wa sasa ni average. Yaani kiufupi hawatabiriki.

Lakini pia nimegundua kocha wetu wa sasa anaichezesha timu yake mfumo wa aina moja. Hana plan B. Kuna kipindi unaona kabisa kocha anatakiwa kubadilisha mfumo wa uchezaji ili kupata matokeo!!

Unashangaa anafanya sub ya hivyo, au anaacha tu baadhi ya wachezaji kupoteza muda uwanjani, hata kama wamechoka/wameshindwa kutimiza malengo waliyopewa.

All in all, kwenye dirisha dogo maboesho madogo hayakwepeki.
 
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
Anakumbuka mzimu wa IHEFU.
 
Mashabiki siku zote hawaeleweki wanataka nini

Kipindi mnapigwa na Ihefu unakumbuka lawama zilikuwa kuhusu nini?

Wengi mlimshukia Kocha kwa kufanya rotation ya kikosi kwa kuwaweka benchi wachezaji wenu mnao wapenda.

Leo kocha anaweka hao wachezaji wenu mnao wapenda ambao mna amini ndio mhimili wa timu lakini bado mnakuja tena kumpa lawama kwanini hachezeshi wale wachezaji ambao hamkuwataka kwenye mechi ya Ihefu.

Hao ndio Gongowazi
Kuna kufanya rotation na kubadilisha timu. Mechi ya IHEFU hakufanya rotation bali alibadilisha timu.Aliingiza wasugua benchi 7 kwa mpigo watu waliokua wamekosa match fitness.
 
Ndiyoo! Kocha Gamondi kaja na Falsafa yake lakini Falsafa yake ni sumu iliyokuja kubomoa/ kuharibu kikosi kipana kilichotengenezwa na Fundi wa mpira Prof Nabi.

Nabi alitengeneza kitu kinachoitwa "HAKUNA STAR KWENYE TIMU YANGU" na kweli Hilo liliwezekana kila mchezaji aliyepewa nafasi alicheza mpira Kama hatocheza Tena.

Nabi alitengeneza kikosi kipana ikapatikana Rotation ya wachezaji na kweli wachezaji walipumnzika na waliopata nafasi ya kucheza timu ilipata matokeo.

Lakini ujio wa Gamondi umekuja kuchuja na kuchukua wachezaji wake "First eleven" Hii ni sumu kubwa sana maana waliopo benchi hawapati match fitness siku wakipewa namba tutawakataa. Wapo wapi Abubakari Salumu (sureboy), Faridi Musa, Kibwana Shomari n.k

Yanga ya saivi akiumia mchezaji mmoja tu benchi la ufundi linaanza kuumiza kichwa huu ni mfano mzuri alipoumia Lomalisa Mutambala mawazo yalikua mengi lakini enzi za Nabi Faridi Musa na kitasa Kibwana Shomari walicheza vizuri tu.

Maoni Yangu: Gamondi aambiwe ukweli kuwa afanye Rotation ili kunusuru talanta za wachezaji.
Hizi mechi ni ngumu zinahitaji akili na nguvu na individual skills (uwezo wa mtu binafsi) siyo majaribio kumbuka yanga hawana namba 9 mwenye weledi wa kutosha
 
Mmesahau yule kipa metacha alivyo changia kutupoteza kwenye haya mashindano? Mmesahau kukosekana kwa mwamnyeto siku hiyo kulivyotucost? Mmesahau mechi ya ihefu hao akina mauya na sure boy walivopwaya na kusababisha kipigo? Alafu huyo mudathiri haendani na falsafa ya GAMOND yeye akiwa golini huwa anapiga mashuti hovyo hovyo ambayo huwa yanaenda juu usawa wa paa la mkapa stadium pia huwa anaenda mbele anasahau kurudi kwa wakati kwenye nafasi yake
Nafikiri hoja ya mleta uzi bado itasimama pale pale, rotation ni muhimu sana, sio lazima wangie kwa ghafla lakini kuwaingiza taratibu wapewe Dk chache mpaka waingie kwenye mfumo
 
Tatizo la Yanga ni kujisahaulisha kwamba timu ilikua ikibebwa na Mayele, yule mwamba mara zote alikua akiibeba Yanga mabegani mwake. Na mara nyingi alipokosekana mayele timu ili-struggle kupata matokeo hivyo jukumu la kuamua mechi lilibakia kwa Feisal feitoto, kwa lugha nyepesi mayele alikuwa akificha madhaifu ya wachezaji wenzie. Now that he's gone, hiyo mnayoita rotation hata ikifanyika itakua ni bure tu kwakuwa Yanga haina kikosi kipana bali imejaza wachezaji wengi ambao ni average.

Ukitaka uelewe nini namaanisha angalia margin ya magoli ambayo yanga ilikuwa ikifunga kipindi cha mayele, karibia kila mechi yanga inashinda goli 1 au 2 na mfungaji mayele itokee sana afunge mtu mwengine.

Kwa sasa kidogo wanajitahidi kugawanya magoli akina Azizi ki, Nzengeli,Pacome wanajaribu kufunga funga magoli. Sasa ukisema uwatoe hao wanao kufungia magoli aingie sureboy na mauya mnataka timu ishuke daraja ?.
Kwa kweli.
 
Back
Top Bottom