Ninacho juwa mm japo sina uwakika mwisho wake ni mgumu sana maana usie mpenda amekuja. Mh Rais anachowaza sio kitakcho tokea. Kagame kampoteza njia Tz sio Rwanda ndio maana wenye akili wapo kimya sana kiasi hata yeye mwenye taifa anajiuliza. Yes they are cool na wote wanapiga makofi. Wanajizuwia ila wanajuwa hard time to come. Hakuna urafik kati ya bunge,mahakama na serikali kuu. Ndio maana wenye akili wapo kimya ila yeye anafikiri ni wamoja. Kwaheri