Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 450
- 1,205
Miaka 35 ya Jux akimiliki PESA, ELIMU , UMAARUFU ila bado alikataa kuzaa nje ya ndoa hongera Jux you made it ni somo kubwa sana kwa vijana.
Jux we ndo kioo cha jamii Hapa Tanzania achana na hao waswahili wanaojiita wasanii.
Jux we ndo kioo cha jamii Hapa Tanzania achana na hao waswahili wanaojiita wasanii.