STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 837
- 669
Ni wachache sana watakaokuelewa pasco ......... wengi watasoma maneno yako bila ya kutafakari, utaishia kuwatoa povu watu, ila tunaolewa kilichomo ndani ya maneno yako ni wachache.
Push tribe agenda.Pascal Mayalla
Unatumia Kilevi Gani Siku Hivi?
Unatia Shaka Kidogo Au Account Yako Imedukuliwa?
Na tena anyonge mwenyewe maana nadhani hilo analiwezaAfanye uzinduzi wa kunyonga pale jangwani
Push tribe agenda.
Kweli kabisa....au wakawatupe kwenye mto wenye mamba,malori mawili yakiwapakia,yanamaliza selo mzimaNa tena anyonge mwenyewe maana nadhani hilo analiweza
Hiki ndicho tulicho mshauri kwenye bandiko hili.Kuna wafungwa wengine kwenye magereza ya ndani wamehukumiwa kunyongwa...
Mkuu atatia saini yake bila shaka
Wakati anaambiwa mayalla maana yake ni "njaa"nadhani ulikuwa ujumbe mzito.Sidhani Huko Yuko Sana Pascal Ila Kuna Kitu Zaidi Ya Hiko Haiwezekani Kama Propaganda Hii Kiboko
Huyu nadhani kati ya hao kuna mmoja anamdaiha! we inakufaidisha nini..?
halafu mbona umekomalia au una lako jambo..
ingelikuwa mmoja wa ndugu yako yuko kwenye hilo kundi ungejisikiaje.. haya mambo hayahitaji haraka wengine humo usikute wamebambikiwa na wewe unasapoti tu.
kwa maamuzi ya mkulu jinsi yalivyo mi naomba apunguziwe baadhi ya madaraka maana tutaisoma kwelikweli
Wanabodi,
Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.
Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.
Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.
Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.
Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.
W
Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .
Paskali
Rejea
Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232
Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465
Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Demokrasia iko kwa wenzetu huko ambako mahakama inaweza kutengua agizo la raisi bila kujali kama yeye ndio anawapa pesa ama vp. Mr Trump chalii.Wenzetu ulaya na marekani waliokubuhu kwenye sayansi,hasa ya upelelezi,matumizi ya DNA wameanza kuwaachia baadhi ya waliohukumiwa kunyongwa,
Uchunguzi wa DNA ukifanyika upya,wanakuta aliyehukumiwa kunyongwa si muhusika taking accounpt uwezo mkubwa wa polisi kupika kesi.
Kama yeye anasahau idadi ya sheria(ile ya madawa)sembuse hii human justice inayofanywa na majaji
rudia kusoma kwa makini hili umuelewe mwandishiha! we inakufaidisha nini..?
halafu mbona umekomalia au una lako jambo..
ingelikuwa mmoja wa ndugu yako yuko kwenye hilo kundi ungejisikiaje.. haya mambo hayahitaji haraka wengine humo usikute wamebambikiwa na wewe unasapoti tu.
kwa maamuzi ya mkulu jinsi yalivyo mi naomba apunguziwe baadhi ya madaraka maana tutaisoma kwelikweli
Wakati anaambiwa mayalla maana yake ni "njaa"nadhani ulikuwa ujumbe mzito.