Mhe. Rais Magufuli, Anza na Kusaini Hati za Wote Waliohukumiwa Kifo, Wanyongwe Haraka Haraka Mpaka..

Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Amewaongelea waliohukumiwa kunyongwa kwa makosa ya unga sio makosa yote halafu makosa ya unga tz hayana hukumu ya kifo.
 
Pascal Mayalla wewe jamaa una kila dalili ya uchumia tumbo.. sijui unatafuta uteuzi?

shame on you man, ingekuwa ni ndugu yako amehukumiwa kifo ungeshadadia kama unavyofanya hapa?

mambo mengine heri ukae nayo moyoni tu nilikuona msomi sana ila umeshaanza "ushabiki uchwara"

pathetic waste of talent
 
ha! we inakufaidisha nini..?
halafu mbona umekomalia au una lako jambo..
ingelikuwa mmoja wa ndugu yako yuko kwenye hilo kundi ungejisikiaje.. haya mambo hayahitaji haraka wengine humo usikute wamebambikiwa na wewe unasapoti tu.

kwa maamuzi ya mkulu jinsi yalivyo mi naomba apunguziwe baadhi ya madaraka maana tutaisoma kwelikweli
Hata kama angekuwa ndugu yangu ningekubali matokeo tu. Nawe kama ndugu yako akikutwa na hatia ya mauaji first degree akahukumiwa kunyongwa mpk kufa utaridhika?
 
Yaani nchi hii kila mtu ni Rais, makamu wa rais, waziri mkuu, mkuu wa majeshi, igp,kamishna wa magereza, uhamiaji,madawa ya kulevya, mchungaji, sheikh, mwalimu, daktari, injinia,wakili, kila kitu yaani watanzania tunajua kila kitu!
 
Yaani nchi hii kila mtu ni Rais, makamu wa rais, waziri mkuu, mkuu wa majeshi, igp,kamishna wa magereza, uhamiaji,madawa ya kulevya, mchungaji, sheikh, mwalimu, daktari, injinia,wakili, kila kitu yaani watanzania tunajua kila kitu!
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Asante Pascal. Nimesoma ambacho hukuandika na nimekuelewa! Kazi nzuri.
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Tangazo la leo kuwa asipelekewe listi za wanasohukumiwa kunyongwa, ni taartifa njema zinazopaswa kupongezwa na kuungwa mkono, katika matumaini kuwa ni katika kipindi hiki, Tanzania itaifuta kabisa adhabu hii ya kinyama ya kifo.

Paskali
 
Siku zote huwa ninawaambia watu humu, people change, hawaamini. Hebu mfikirie mtu aliyetoa kauli hii mwanzo, na sasa amefanya nini jana.

Mwanzo watu tulidhani watu ni makatili ajabu, kumbe ni watu wenye huruma na upendo wa ajabu!.

Paskali
 
Siku zote huwa ninawaambia watu humu, people change, hawaamini. Hebu mfikirie mtu aliyetoa kauli hii mwanzo, na sasa amefanya nini jana.

Mwanzo watu tulidhani watu ni makatili ajabu, kumbe ni watu wenye huruma na upendo wa ajabu!.

Paskali


Wewe iko akili kubwaaz ila watu hawajuwi tu, sitoshangaa wakija wakereketwa kunitukana kisa nakuelewa.
 
Naunga mkono wanyongwe tu maana serikali inatumia pesa nyingi kuwagharamia huko magereza mwisho wa siku inakosa pesa za kuwaongeza mishahara watumishi wa umma na kuishia kuwapandishia 5000
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati moja tuu ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote hakutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Nani kakudanganya? Mwl alisahini hati 16 ni pamoja wahindi wawili waliyoua familia hili kupata malipo ya BIMA. Walioshiriki au kuongoza mahasi. Wasukuma waliowaua wazee kwa tuhuma uchawi. Komesha ni Mzee Mwinyi yeye alisaini hati ya kunyonga 268
 
Again Mr.Mayalla umekuja na mada yenye utata mkubwa mno,and u need uwe mwangalifu unapoisoma maana wengi wengi tuna soma ila uwezo wa reading to understand ni mdogo mno,binafsi adhabu ya kifo siiafiki kabisa,maana haileti tija au kurudisha uhai wa mtu aliyeuawa na mtuhumiwa,na nikipata kuwa rais kwa siku moja ,adhabu hii ya kifo nitaifuta kabla ya chai ya saa nne asubuhi,adhabu hii inaendeleza unyama,ushezi na inachochea zaidi kuliko kutibu,elewa magereza yapo kurekebisha sio kukomoa wenzetu waliojikuta wapo upande wa pili wa sheria,mimi ninapendekeza kuwepo na kifungo cha muda mrefu kwa wabakaji hasa kwa watoto,drugs underworlds kingpins,wauaji,human trafficking,kesi zao ziwe na upelelezi wa kutosha na zichukue muda mfupi kuhitimishwa,its very sad kuona nchi yangu mpaka karne hii murder case inachukua zaidi ya 10yrs bado haijahitimishwa huu ni ukiukaji wa haki za binadamu,jeshi letu la polisi lipewe mafunzo na vitendea kazi na lazima tuwe na special units within our police force ili iwe rahisi kushuhulikia kesi kwa uharaka,futa takaruku na badala yake tuunde units kama Hawks (SA)ambao kesi zote za makosa makubwa watazishughulikia ,wapewe uwezo wa to arrest na wewe na uwezo wa kisheria wa kuwapeleka watuhumiwa mahakamani,bila ya kupitia DPP.
 
Update.
Kwa vile mimi ndio mwanzisha mada, na kuna mada mtu unaanzisha with the motive behind, amini usiami, mada kama hizi zimesaidia sana kuleta mabadiliko na the desired changes, sasa imebaki kufutwa tuu rasmi kwa adhabu ya kifo, toka kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Thanks for changing for the better.

Paskali
 
Wanabodi,

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .


Paskali

Update.
Kwa vile mimi ndio mwanzisha mada, na kuna mada mtu unaanzisha with the motive behind, amini usiami, mada kama hizi zimesaidia sana kuleta mabadiliko na the desired changes, sasa imebaki kufutwa tuu rasmi kwa adhabu ya kifo, toka kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Thanks for changing for the better.

Paskali
Update.
Kwa vile mimi ndio mwanzisha mada, na kuna mada mtu unaanzisha with the motive behind, amini usiami, mada kama hizi zimesaidia sana kuleta mabadiliko na the desired changes, sasa imebaki kufutwa tuu rasmi kwa adhabu ya kifo, toka kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Thanks for changing for the better.

Paskali

Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
 
Wanabodi,

Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa na kumshauri ayaishi maneno yake kwa kuanza na hawa wa nyumbani waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, mafaili ya hukumu zao, yako mezani kwake yakisubiri tuu saini yake,adhabu zao zitekelezwe.

Adhabu ya kifo ndio adhabu kubwa na kali kuliko adhabu zote, mtu akiishahukumiwa adhabu hiyo, huwa haitekelezwi mpaka rais asaini hati ya kifo ya utekelezaji wa adhabu hiyo inayoitwa "death sentence".

Rais anakuwa huru kusaini ama kutosaini, hivyo katika kipindi chá miaka 23 ya utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, inasemekana alisaini hati mbili tuu, moja ni ya Mwamwindi, aliyemuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kleruu, na ya pili ni ya mhindi mmoja aliyemuua mke wake, kisha kuuweka mwili wake kwenye gari, kisha kulisukumia bondeni ionekane ni ajali ili alipwe bima nono!.

Mwinyi katika kipindi chake cha miaka 10,anasemekana alisaini hati kadhaa na watu wakanyongwa hadi kufa.

Mkapa katika kipindi chake chote haikutolewa taarifa kama aliwahi kusaini hati yoyote ya kifo.

Kikwete kiukweli kwa jinsi alivyokuwa dhaifu kwenye mambo makubwa, sidhani kama angeweza kusaini, hata angetaka kusaini, mkono ungetetemeka!.

Udhaifu wa Kikwete ulianzia alipo wasamehe wale watuhumiwa wa EPA.

Kuonyesha alivyo dhaifu rais Kikwete aliwaombea msamaha Watanzania waliohukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na madawa ya kulevya.

Mpaka sasa Kuna mamia ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa tangu enzi za Nyerere ambao hukumu zao hazitatekelezwa zikisubiri saini ya Magufuli.

Marais tangu Nyerere, Mkapa na Kikwete (Mwinyi alisaini), walishindwa kusaini kutokana na udhaifu wa mioyo yao, walikuwa na roho yepesi zenye huruma hivyo kulitia taifa hasara kubwa kutokana na udhaifu wao.

Wafungwa hawa, hawaruhusiwi kufanya kazi yoyote kule gerezani, kazi yao ni kula na kulala tuu. Sasa just imagine hasara wafungwa hawa wanavyolisabishia taifa.

Zaidi ya kula bure na kulala bure, na kuvaa bure, bado wakiugua wanatibiwa kwa gharama kubwa hadi wapone, kwa vile wameisha hukumiwa kifo kwa kunyongwa hadi wafe, wakiugua kwa nini wasingeachwa tuu waugue hadi wajifie zao, na kehesabu hiyo ni kazi ya Mungu, au hata kupewa sumu very lethal poison, wanakufa faster na watuondolee msongamano magerezani.

Zaidi ya kula na kulala bure, pia wanapoteza nguvu kazi kubwa ya taifa, kuwalinda 24/7. Kila mfungwa wa kifo anafungiwa jela ya chumba cha peke yake na kila mmoja anatumia walinzi watatu wa shift za masaa 8 kila siku.

Kama hilo halitoshi taifa linaendelea kupata hasara kwa ku train wanyongaji wanaolipwa mshahara wa bure bila kufanya kazi yoyote ya kunyonga!.

Tunapoteza, fedha nyingi kununulia vifaa vya kunyongea na kuvi maintain muda wote hadi vinachakaa bila kutumika.

Hivyo kwa tangazo la jana la Rais Magufuli kutaka Watanzania waliohukumiwa kunyongwa huko nje wanyongwe, hii inaonyesha rais Magufuli ni rais jasiri na asie muoga muoga na dhaifu kama watangulizi wake, hivyo nashauri kabla MFA haijatuma Note Verbale nchini China kuruhusu Watanzania waliohumiwa vifo wanyongwe, aanze kwa kusaini hati za vifo zilizoko mezani kwake kwa haraka haraka kama alivyosaini ule muswada wa habari.

Kwangu mimi hili limekaa poa, waliohukumiwa kunyongwa mpaka wafe, wanyongwe tuu wafe, jee wenzangu hili mnalionaje? .

Paskali
Update.
Kwa vile mimi ndio mwanzisha mada, na kuna mada mtu unaanzisha with the motive behind, amini usiami, mada kama hizi zimesaidia sana kuleta mabadiliko na the desired changes, sasa imebaki kufutwa tuu rasmi kwa adhabu ya kifo, toka kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Thanks for changing for the better.

Paskali

Rejea

Idadi ya walionyongwa tokea uhuru Tanzania ni 232

Idadi ya wanaosubiria kunyongwa yafikia 465

Mamia wanasubiri kunyongwa nchini
Kamwe siungi mkono kabisa kuondolewa kwa adhabu ya kifo hapa Tanzania na hata katika nchi zingine zote kabisa, hususani nchi za Afrika. Sikubaliani kabisa na Hoja hii ya kufuta adhabu ya kifo.
Wapo baadhi ya Wahalifu wanastahili kupewa adhabu ya kifo, na pia wanastahili kunyongwa hadi kufa.
Matahalani, kwa hapa Tanzania kuna Askari Polisi wengi Sana wamekuwa wakifanya vitendo vya uhalifu wa kupora Mali za raia na kisha raia hao wamekuwa wakiuawa makusudi ili kupoteza Ushahidi, watu wengi pia wamekuwa wakiuawa kwa makusudi wakiwa mikononi mwa Askari Polisi au wakiwa kwenye Vituo vya Polisi, na Wauaji wamekuwa hawachukuliwi hatua zozote zile Kali za kuwapa fundisho juu ya uhalifu wao huo. Askari Polisi wamekuwa wakihusika katika uhalifu kama huo kwa kuwa Wana uhakika kuwa na wao hawatauwa badala yake wanahamisika zaidi na zaidi kuendelea kuua watuhumiwa. Mimi binafsi naamini kwa dhati kabisa kwamba Endapo kama Rais wa nchi hii angesaini Hati ya Kifo dhidi ya OCD Christopher Bageni, yule Askari Polisi aliyewaua kikatili wale Wafflanyabiashara wa madini kutoka huko Mahenge Morogoro, Basi Polisi wangeogopa kufanya matukio mengine ya uporaji na mauaji dhidi ya Wananchi.

Aidha, Endapo kama OCD Christopher Bageni angenyongwa hadi kufa Basi lile tukio la mauaji la Bw. Hamza Mohamed pale Selander Bridge Dsm kamwe lisingeweza kutokea, na hata yule Mfanyabiashara kijana wa madini kule Mtwara pia asingeweza kuuawa na wale Askari Polisi walioongozwa na OC-CID Kalanje.

Mwisho:
Namshauri Rais SSH akubali kusaini Hati ya Kifo ili aliyekuwa OCD Christopher Bageni aweze kunyongwa hadi kufa, kwa sababu Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani tayari zimeshatoa idhini na baraka zote kabisa kwamba mtu huyo anastahili kunyongwa hadi kufa. Huku mitaani kuna chuki kubwa sana dhidi ya hao Watu.
Endapo kama Rais anaona labda pengine kutokana na Imani yake ya kidini hawezi kusaini Hati za Kifo ili Watu hao wanyongwe, Basi namshauri AKASIMISHE MADARAKA hayo kwa Watu wengine walio chini yake ili waweze kutekeleza jukumu hilo kwa niaba yake.

Inakera Sana kwa kweli kuendelea kuwaona Watu wauaji ambao waliua wenzao kwa makusudi Halafu wao bado wanaachwa waendelee kufaidi maisha, Kamwe jambo hili halikubaliki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom