Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,813
- 40,883
Hakuna creativity kubwa kama lile goal la FeitotoHizi ndio creativity ambazo wasomi wetu wanatakiwa kuzifanya.
Hakuna creativity kubwa kama lile goal la FeitotoHizi ndio creativity ambazo wasomi wetu wanatakiwa kuzifanya.
Dj Mark anajua kiingereza"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"
Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu
Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
✅✅✅✅✅✅✅Hakuna creativity kubwa kama lile goal la Feitoto
Mimi hapa ndipo uwa namkumbuka marehemu baba yangu. Alituwezesha kutokuwa na hitaji la kwenda kwenye vibanda kuangalia video na hata hawa akina Mkandala and the like nimekuja kuwajua kupitia hapa JF kwamba wapo au walikuwepo wakitafsiri muvi. Hata hivyo natambua kuangalia muvi za aina hii kunakuwa na raha yake kwa rika husika.Mtu mzima unaanzaje kuangalia movie iliotafsiriwa kwa kuingiza sauti? Hizo movie huwa naona hazina tofauti na katuni za watoto za akina Kibena.
Aliwasaidia akina Nani,aliwasaidia nini?Aliwasaidia sana...
Dah umetisha broVipi kamanda hutaki kula uroda kutoka kwa huyu mateka hapana kamanda mimi sio mfuska
Chai maharageAkaona Chai malage inakuja- Daladala Hiace
Pole sana mkuu yan ninyi ndo wale watoto wa tumbo kubwa na miili ya mkate 😂😂 hamkupata bahati hata ya kwenda kwa jiran kupata mambo ambayo kwa utoto wetu yalikuwa mzuri sanaaa.Mimi hapa ndipo uwa namkumbuka marehemu baba yangu. Alituwezesha kutokuwa na hitaji la kwenda kwenye vibanda kuangalia video na hata hawa akina Mkandala and the like nimekuja kuwajua kupitia hapa JF kwamba wapo au walikuwepo wakitafsiri muvi. Hata hivyo natambua kuangalia muvi za aina hii kunakuwa na raha yake kwa rika husika.
Watu wengi hawajawahi kujua kama comando kipenzi inaitwa deadly prey huyu rufufu alikua hatarii sana.Wapeeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwaa
Kwa mara nyingine tena mkandala lufufu library iliyoopo Yombo kwa limboa inawaletea movie kali kabisa ya deadly pray
Imetafsiriwa na captain Gasper Mkandala lufufuuuuuu wako
Sir Name ya kihaya mukandala kama yule prog mukandala wewe zombi unamuita mhaya very patheticAnaitwa Kapteni Gaspa derki Mkandala lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha.
Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa Kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa Nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.
Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa Mchaga na mama yake alikuwa Mhaya.
Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa.
"Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo "
Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
Naitwa Kapteni Deriki Gaspa Mukandala, Lufufu Lukomambeija, Nakoma byalelemba, Nasika byalagara.Anaitwa Kapteni Gaspa derki Mkandala lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha.
Hapana mkuu lufufu alikuwa ni mchaga kabisa na mama mhaya Huyu mzee mie pia nina mfahamu vzr sn ila yeye alikulia upande wa mama ambaye ni mhaya so alipoanza kazi zake akaona atumie maneno ya kihaya kwenye kuchombeza movie zake, ila lufufu ni mchaga baba na mama mhayaSir Name ya kihaya mukandala kama yule prog mukandala wewe zombi unamuita mhaya very pathetic
Hata hayo maneno aliyonuwa ananigesha kama kumiminawani (kumwaga kahawa) kanyampasira (kijambio )na nk huyu alikuwa mhaya typical hata ongea yake wewe bwashee unamuita mchaga upate sifa za kipumbavu
USSR