Meli za kivita za Marekani zaingia kwenye 18 za Hizbullah, Askari watano waangamia

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,471
11,454
Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

1699851832892.png
 
Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

View attachment 2812232
Yaani unabwatuka kimemko ya kidini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyerere kwa nini alisema tutumie kiswahili? Ona tabu tunayopata kwa huyu mleta mada kutokujua tafasiri ya kilichoandikwa?

Watu wanapata ajali kwenye mazoezi, yeye anaandika wameingia kwenye 18 za hizbolllah!

Rudi madrasa ukafundishwe hata google translation
 
Maislamu utayaweza mkuu, hayanaga akili ni kubwatuka tu
Chuki yako ni kubwa sana,kisa kwa dini za kuletwa na mashua na ngalawa!!

Ukitoa dini- baina ya waislamu na wakrsito tofauti inayobaki ni nini?!! Ukiweka dini- kwenye maisha yetu ya kila siku dini ina faida gani na hasara gani?!!
 
Yani Marekani ndio anapeleka meli za kivita kubwa hivyo kuisaidia Israel inayopigana na wanamganbo?

Nimefurahi sana kwa nyie kutambua ni kubwa, mkae kwa kutulia tuliiii.....hapa mizuka yenu ya kidini haisaidii kitu.
 
Back
Top Bottom