Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Ubaya ubwela. Safari hii tarehe nane litawakuta jambo la kitarehe kama lile la tarehe 5. Subiria ubaya ubwelai..!!
Umepata siti namba ngapi mkuu? Maana nasikia kuna fujo baleke amepunga mkono watu wamezimia kwa kushangilia.
 
Hukutaka kuwa sehemu ya historia ya mapinduzi ya soka SA? Kinachoendelea ni kikubwa mno, vyombo vya habari dunia nzima vimeelekezwa SA.
Hakika habari kubwa mtandaoni ni kuhusu mechi ya young Africans vs Kaizer chiefs
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Hukutaka kuwa sehemu ya historia ya mapinduzi ya soka SA? Kinachoendelea ni kikubwa mno, vyombo vya habari dunia nzima vimeelekezwa SA.
Uwepo wa vyombo vya habari ndo unafanya wengine wasiende..!! Siyo kule kwingine mechi haitangazwi popote zaidi ya wale wahuni wa youtube
 
Uwepo wa vyombo vya habari ndo unafanya wengine wasiende..!! Siyo kule kwingine mechi haitangazwi popote zaidi ya wale wahuni wa youtube
Bbc, cnn, tv za urusi na north korea uchambuzi upo live tangu jana.
 
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
UbayaUBWELA#
Uzi bila picha👹
 
Back
Top Bottom