Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
Ingekuwa shida ya wa South ni kuiona Yanga basi wangejaa siku ya mechi za Yanga v Augsburg na Yanga v TS Galaxy.

Lakinbi viwanja vilikuwa vitupu hakuna mashabiki.

Kwakuwa Kaizer Chiefs ndiyo timu yenye mvuto pale Bondeni ndiyo maana mashabiki watajaa uwanjani. Kaizer Chiefs na Orlando Pirates ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

Hao wamejaa kuiona timu yao ya Kaizer Chiefs baada ya kuwa na kocha mpya maana imepitia kipindi kigumu mno hadi kwenye msimamo wa ligi haipo top 5.
 
Sababu ni ipo?
CorollaCross_Xi_040_RGB-scaled-1-2.png
CorollaCross_Xi_040_RGB-scaled-1-2.png
 
Ingekuwa shida ya wa South ni kuiona Yanga basi wangejaa siku ya mechi za Yanga v Augsburg na Yanga v TS Galaxy.

Lakinbi viwanja vilikuwa vitupu hakuna mashabiki.

Kwakuwa Kaizer Chiefs ndiyo timu yenye mvuto pale Bondeni ndiyo maana mashabiki watajaa uwanjani. Kaizer Chiefs na Orlando Pirates ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

Hao wamejaa kuiona timu yao ya Kaizer Chiefs baada ya kuwa na kocha mpya maana imepitia kipindi kigumu mno hadi kwenye msimamo wa ligi haipo top 5.
Acha uongo, Yanga ikienda south watu wanabubujikwa na machozi wakimlilia kumuona Mzize na wenzie kina max.
Yanga hakuna mechi SA hajajaza, huwa kunajaa hadi nje.
 
Ingekuwa shida ya wa South ni kuiona Yanga basi wangejaa siku ya mechi za Yanga v Augsburg na Yanga v TS Galaxy.

Lakinbi viwanja vilikuwa vitupu hakuna mashabiki.

Kwakuwa Kaizer Chiefs ndiyo timu yenye mvuto pale Bondeni ndiyo maana mashabiki watajaa uwanjani. Kaizer Chiefs na Orlando Pirates ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

Hao wamejaa kuiona timu yao ya Kaizer Chiefs baada ya kuwa na kocha mpya maana imepitia kipindi kigumu mno hadi kwenye msimamo wa ligi haipo top 5.
Umeshawahi kujiuliza kwanini Yanga akicheza na 'Lipuli' mechi inakuwa haina watu wengi ukilinganisha na Yanga akicheza na 5imba au Azam?

Yanga na Augsburg, timu zote hizi ni za nje ya Afrika kusini, huwezi linganisha idadi ya watazamaji wakati timu yao pendwa (Keizer) inapocheza na Yanga iliyodhurumiwa GOLI wakati ikicheza na Masandawana...!!
 
Acha uongo, Yanga ikienda south watu wanabubujikwa na machozi wakimlilia kumuona Mzize na wenzie kina max.
Yanga hakuna mechi SA hajajaza, huwa kunajaa hadi nje.
Mbumbumbu huko Egypt wamecheza na teams Gani?
 
Back
Top Bottom