Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake na Muungano

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
812
513
Kuelekea Maadhimisho ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, UWT imeandaa mdahalo wa Kitaifa wenye Dhima ya Nafasi ya Wanawake ndani ya miaka 60 ya Muungano. Tulipotoka, Tulipo na Tunapoelekea litakalofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Tarehe 25 Aprili, 2024.

UWT Motooo, Motooo 🔥🔥
FB_IMG_1713702687487.jpg
 
Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake na Muungano.

Mgeni rasmi: Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

IMG-20240423-WA0123.jpg
IMG-20240423-WA0132.jpg
IMG-20240423-WA0130.jpg
 
Zimesalia siku mbili kuelekea siku kubwa ya kumbukizi ya Miaka 60 ya kuundwa kwa Jamhuri Muungano wa Tanzania 🇹🇿

Umoja wa Wanawake Tanzania UWT umeandaa Jambo kubwa la kitaifa kwa Wanawake kuelekea siku hiyo ya kihistoria na Leo Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mary Pius Chatanda anapita kwa Makachero wa Taifa #SentroCloudsTv kulitambulisha Jambo.

Iverify @CloudsTv
#SentroCloudsTv
#Tumekuverify

IMG-20240424-WA0082.jpg
 
Zimesalia siku mbili kuelekea siku kubwa ya kumbukizi ya Miaka 60 ya kuundwa kwa Jamhuri Muungano wa Tanzania

Umoja wa Wanawake Tanzania UWT umeandaa Jambo kubwa la kitaifa kwa Wanawake kuelekea siku hiyo ya kihistoria na Leo Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mary Pius Chatanda anapita kwa Makachero wa Taifa #SentroCloudsTv kulitambulisha Jambo.

Iverify @CloudsTv
#SentroCloudsTv
#Tumekuverify

View attachment 2973062
Kwamba kuna mtanzania wa kawaida mwenye akili inayojiongoza tofauti na Chawa na wanufaika wa fedha chafu anayeweza kupoteza muda wake kusikiliza ngonjera za Muungano asio na faida nao?
 
Back
Top Bottom