Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,776
- 99,374
Ukinionesha yaliyokufika naahidi kuyaondoa.kwa kwelu yamenifika hapa![]()
hapa usipite njoo usema wewe umechepuka mara ngap
hapa usipite njoo usema wewe umechepuka mara ngap
Mi sitaki uchochezi...
Akikujibu tafazali nibeep...hapa usipite njoo usema wewe umechepuka mara ngap
ha ha ha ha ngoja nkufate inbox utasema ukwel tuWala mie kastaarabu kabisaaa haha
ha ha ha ha hilo jibu hawez kutoa mzee mwenzanguAkikujibu tafazali nibeep...
ha ha ha ha ngoja nkufate inbox utasema ukwel tu
safi sana akikataa aseme amechepuka mara ngapi
Thats my boy... nenda huko afu utanipa mlisho nyuma... a.k.a mrejeshoha ha ha ha ngoja nkufate inbox utasema ukwel tu
ha ha ha utasema tu mara ngap mchepuko umekuhusuHahahaa ntakutimua
Hapo ngoma droo mkuu,kwasababu mwanamke anachepuka na mwanaume na mwanaume anachepuka na mwanaume!Hbari za alfajiri wana jamii..
hebu tupashane..
"Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kuchepuka ??"