T-King
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 172
- 100
Acha upotoshaji. Rais anafanya kile anachokijua. Kumbuka, kati ya wanaomhujumu waliwai kumtukana mbwa mwenye mbwa! Halafu mbwa amekuwa mwenye mbwa wanataka kumhujumu ili aendelee kuwa mbwa! Kisa hafungamani nao. Hata mtangulizi wake yuko nyuma ya hujuma na Magu analijua hilo. Tumpe mda, iko siku nchi itawaka moto. Magu anavizia tu, usishangae siku moja Riz kuwa mbele ya pilato na hakuna dhamana! Wanaamini ktk miungu, na tunaamini ktkk Mungu. Haturudi nyuma, Mungu saidia Tz.ndivyo tulivyo wabongo,watu wanalalamika bei ya sukari wamesahau ya kwamba elimu ni bure sukari ndo na hela hii inamaanisha ya kwamba sukari ni tamu kuliko elimu..