Mawazo, ushauri, maoni yenu wadau

2v1

Member
Mar 28, 2024
78
124
Mathayo 24:9-14
9 Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.

10 Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.

11 Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.

12 Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa.

13 Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.

14 Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Binafsi sijui ninashida gani nina miaka 20+ sijawahi kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote. Porn graphics zimeniathiri sana, kuna muda natamani niingie kwenye mahusiano ila nasita sana naona kama siyo wakati mwafaka. Natamani nijiimarishe kwanza kiuchumi ndiyo niingie kwenye mahusiano. Nimekuwa nikiona usaliti kwa wapenzi nao umekuwa ukinipa hofu na kunifanya niwe na mawazo mengi.

Mimi ni mtenda dhambi kama wengine, kuna muda ndiyo napenda mtu ila upendo wangu unapoa nasita kabisa kutongoza. Sasa sijui ni vumilie hadi mwisho(yani mpaka nijiimarishe kiuchumi) maana naona porn graphics zinaniharibu. Kiukweli nina shida nyingi mawazo yenu wadau
 
Mathayo 24:9-14
9 Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.



11 Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.





14 Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Binafsi sijui ninashida gani nina miaka 20+ sijawahi kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote. Porn graphics zimeniathiri sana, kuna muda natamani niingie kwenye mahusiano ila nasita sana naona kama siyo wakati mwafaka. Natamani nijiimarishe kwanza kiuchumi ndiyo niingie kwenye mahusiano. Nimekuwa nikiona usaliti kwa wapenzi nao umekuwa ukinipa hofu na kunifanya niwe na mawazo mengi. Mimi ni mtenda dhambi kama wengine, kuna muda ndiyo napenda mtu ila upendo wangu unapoa nasita kabisa kutongoza. Sasa sijui ni vumilie hadi mwisho(yani mpaka nijiimarishe kiuchumi) maana naona porn graphics zinaniharibu. Kiukweli nina shida nyingi mawazo yenu wadau
Tafadhali ishi maisha ya utauwa ukimpendeza mungu na wanadamu, ukitaka kuacha porn mikono ipate pilipili. Over
 
Daah mdau fanya mpango ukimbie kabisa hio dhambi, kwanza ishaanza kukuvuruga na itakuharibu mbaya sana umri unaenda na nguvu ya mwili ndio unazidi kuipunguza dizaini hio 🤔
 
Daah mdau fanya mpango ukimbie kabisa hio dhambi, kwanza ishaanza kukuvuruga na itakuharibu mbaya sana umri unaenda na nguvu ya mwili ndio unazidi kuipunguza dizaini hio 🤔
Nimejaribu sana ila wapi, kuna muda huwa roho yangu inajihukumu sana. Ila nitaendelea
sasa unampango gani apo baadae
Niwe mfanya biashara mkubwa, nioe ,nife kwa amani ya bwana
 
Kwanza kutoshiriki mapenzi sio kosa labda ujilaumu,,kwa umri huo ni vizur ukajilinda mpaka pale utakapo amua kuwa na mwenza rasmi

Shida ipo kwenye porno,,tena ni shida kubwa sana,sehemu ya madhara ambayo utayapata ukija kuwa na mwenza ni kuwa utakosa hisia kwake mpaka ukumbuke picha za kwenye porno,,yaani mtoto yupo mbele yako lkn mzuka hauji kabisa mpaka uvute picha uliyoiona katika porno

Pili,kumwaga fasta ni sekunde tu,kwasababu porno inakujenga au inafanya ubongo wako ujenge taswira ya kukojoa fasta kutokana na hisia unazo zipata unapo angalia porno

Porno inaenda sambamba na masterbation,,una hatar kubwa ya kuua mishipa midogo midogo katika uume wako na kuufanya uwe legelege na usio na nguvu kabisa,,hapo uanaume wako una sema thank you hivi hivi

Pambana na huo uraibu,kwanza tafuta app ambazo zinakuwezesha kutoruhusu simu yako kuonyesha porn

Pili tafuta kitu mbadala kwa maana pale unapojisikia kutaka kuchek porn basi unashift mind yako kwa kufanya jambo lingine,,na usipende kukaa peke yako kwakuwa ukiwa peke yako tu ndio zile hisia zitakujia na kukushinda nguvu

Kila la kheri
 
Kuna muda n
Kwanza kutoshiriki mapenzi sio kosa labda ujilaumu,,kwa umri huo ni vizur ukajilinda mpaka pale utakapo amua kuwa na mwenza rasmi

Shida ipo kwenye porno,,tena ni shida kubwa sana,sehemu ya madhara ambayo utayapata ukija kuwa na mwenza ni kuwa utakosa hisia kwake mpaka ukumbuke picha za kwenye porno,,yaani mtoto yupo mbele yako lkn mzuka hauji kabisa mpaka uvute picha uliyoiona katika porno

Pili,kumwaga fasta ni sekunde tu,kwasababu porno inakujenga au inafanya ubongo wako ujenge taswira ya kukojoa fasta kutokana na hisia unazo zipata unapo angalia porno

Porno inaenda sambamba na masterbation,,una hatar kubwa ya kuua mishipa midogo midogo katika uume wako na kuufanya uwe legelege na usio na nguvu kabisa,,hapo uanaume wako una sema thank you hivi hivi

Pambana na huo uraibu,kwanza tafuta app ambazo zinakuwezesha kutoruhusu simu yako kuonyesha porn

Pili tafuta kitu mbadala kwa maana pale unapojisikia kutaka kuchek porn basi unashift mind yako kwa kufanya jambo lingine,,na usipende kukaa peke yako kwakuwa ukiwa peke yako tu ndio zile hisia zitakujia na kukushinda nguvu

Kila la kheri
Kuna muda nakua na kiu sana huwa naona nisije nikabaka bure nisije sababisha dhambi nyingine
 
Nimejaribu sana ila wapi, kuna muda huwa roho yangu inajihukumu sana.
Daah pole sana asee, unapaswa kufuta kama ni apps au site zote zinazokufanya u access hizo mambo na usijaribu tena kabisa kuzitaka.

Pia tafta vitu vitakavyokufanya uwe bize mfano reading, movies and football, kwenye football tafta uwanja kabisa wanapofanya mazoezi wadau anza kusakata kabumbu ukirudi baadae home upo hoi wala hutawaza huo ujinga brother.
 
Kuna muda n

Kuna muda nakua na kiu sana huwa naona nisije nikabaka bure nisije sababisha dhambi nyingine
Ni kweli kabisa,kwasababu porn inakupa hisia za juu za kutaka tendo kwahiyo mawazo hayo ni rahisi kukujia

Miongoni mwa uraibu mbaya ni porn,,lkn hakuna mkate mgumu mbele ya chai,,kikubwa azimia kuacha jione ni mkosaji mkubwa,na ni kweli mkosaji ndio maana baada ya kuangalia na kumasterbate unapata hisia za kujilaumu na kujuta

Soma zaidi madhara yake itakusaidia kuogopa hatima mbaya mbele ya safari
 
Back
Top Bottom