Msaidizi Mkuu
Senior Member
- Aug 19, 2020
- 195
- 154
La yule dokta alietolewa meno kisa kuratibu migomo ya madaktari mpaka leo hasikiki tena
Dk.UlimbokaLa yule dokta alietolewa meno kisa kuratibu migomo ya madaktari mpaka leo hasikiki tena
MAJIRA YA SAA NNE NA DK 20
Majambazi yalifika eneo la tukio wakiwa na gari bodaboda mbili boxer na fekon
NDANI YA KITUO
Mama mmoja na mume wake walimleta mhalifu wa tukio la wizi kabla hawajamaliza ngazi majambazi yakawafyatulia risasi na kufa hapo hapo.
Polisi walitaharuki kwa kuwa hawakutegemea yakaanza mapambano ya risasi yakaua polisi hao na kwenda store
Walipofika store sasa hapa ndio kuna maswali mazito funguo waliipata wapi. Walikua na viroba wakaaza kupakia silaha hizo
Kuna kitu cha kujifunza hapa kama wana gari kwa nini waweke kwenye viroba jibu ni kuwa kuna safari mbili mbele ya safari gari litawaacha na wao watapata usafiri mwingine.
WAKATI WA KUONDOKA
Kuna askari aliejeruhiwa alijificha chini ya gari alimpiga risasi ya mguu dereva mmoja wa pikipiki ikabidi washuke na kuanza kuchechemea dereva huyu alikodiwa majambazi wakampiga risasi inaonekana alitakiwa kuwabeba na mwisho auwawe.
Majambazi yakakimbilia Kitunda na gari lao
Kikundi cha wahuni kinachoitwa Tereza kuwala tunda kimasihara kina mama
Dk. UlimbokaUmesahau matukio ya wabunge waongeaji sana kufa kwa ajari ili hali dreva anatoka mzima kabsaaa.
Umesahau tukio la kutekwa kwa doctor (nimemsahau jina naisi ndio alikuwa mwenye kiti wa umoja wa madaktari) wakati wa mgomo wa madaktari
Ule hakika ni uhalifu wa kivitaishu ya kupigwa risasi yule binti wa NIT katika maandamano ya chadema pale kinondoni
Mkuu unaelewa nini maana ya uhalifu! Hapa kuna tukio lolote linawakilisha uhalifu?Tetemeko la Kagera
Mlipuko wa petrol Morogoro.
Ajali ya treni Dodoma
Kuvuliwa uPM bwana ENL
Wale wa bukoba kulikuwa na wakata koromeoVipi mauaji ya maalbino
Hili tukio lisikie tu mi ilinikuta livu yaani Kama muvi hivi siku hiyo ndio niliona kifo hichi hapaTukio la ubungo la ujambazi dar nzima iligeuka kua uwanja wa vita kama movie juu helikopta chini magar wanajesh ndio waliofanya tukio hilo ni wakurya kutoka tarime mmojawao aliuliwa banana ukonga bwana gwesu
Jamal LwamboKuna yule RPC Mwanza wahuni walimpiga shaba