Matukio makubwa ya uhalifu yaliyowahi kutokea na kusisimua Nchini Tanzania

Ndugu yangu Bujibuji umesahau matukio makubwa mawili katika sekta ya Fedha
1. wizi wa fedha benki ya CRDB azikiwe, wakati branch manager akiwa BOAZ (ujambazi)
2. wizi wa fedha za NMB katika makutano ya mataa ya UBUNGO (ujambazi)

haya matukio yalikua kama filamu hivi
 
Umesahau matukio ya wabunge waongeaji sana kufa kwa ajari ili hali dreva anatoka mzima kabsaaa.

Umesahau tukio la kutekwa kwa doctor (nimemsahau jina naisi ndio alikuwa mwenye kiti wa umoja wa madaktari) wakati wa mgomo wa madaktari
 
Umesahau matukio ya wabunge waongeaji sana kufa kwa ajari ili hali dreva anatoka mzima kabsaaa.

Umesahau tukio la kutekwa kwa doctor (nimemsahau jina naisi ndio alikuwa mwenye kiti wa umoja wa madaktari) wakati wa mgomo wa madaktari
Dk.Mwakiembe sema
 
Ndugu yangu Bujibuji umesahau matukio makubwa mawili katika sekta ya Fedha
1. wizi wa fedha benki ya CRDB azikiwe, wakati branch manager akiwa BOAZ (ujambazi)
2. wizi wa fedha za NMB katika makutano ya mataa ya UBUNGO (ujambazi)

haya matukio yalikua kama filamu hivi
Matukio ni mengi Sana kila mmoja wetu anatakiwa achangie matukio anayo yakumbuka ili tuwe na tanzi data nzuri zaidi
 
1 panya road
2 Mauaji ya ma RPC Wa mwanza
3 bomoa bomoa
4 kuchoma vifaranga
5 kifo cha dereva aliyeuliwa na ditopile
6 kukata koromeo bukoba na mauaji ya Boda Boda
7 kuna jamaa alichinjaga familia yake uko kigoma
 
Nakumbuka Tukio laUbungo Mataa jamaa alivyosimika ile SMG na Mkanda wake pale Ubungo Mataa mwaka 2005/6 napata msisimko wa ajabu. Hatuna waigizaji wazuri wa Movie haya matukio yangeuza nakala nyingi sana.
Issue ya Kombe,
Issue ya Mwembechai Ngangari vs Ngunguri ccc Mahita
Issue ya Zombe et Al, rip wachimba madini wale
Lkn hata tukio la Juzi la Usajili wa Morrison hakina hata kule Mtwara Mikindani na kule Mwandiga Kigoma pote pote watu walikuwa kitako kusubiri matokeo.
 
Back
Top Bottom