Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,019
- 159,773
Huu ni uzi maalum wa kukushana uhalifu mbalimbali uliotokea Tanzania 🇹🇿 kwa nyakati mbalimbali.
Matukio haya hayako kwenye mtiririko maalum wa kikalenda.
1. Matukio ya uchunaji ngozi watu mkoani Mbeya wilayani Mbozi.
Matukio haya ya aina yake yalitokea mkoani Mbeya ambako ngozi za watu zilikuwa zikichunwa na kuuzwa kwa Bei ya shilingi milioni ishirini.
Ilikuwa inatakiwa ngozi ya mtu mzima, mwanaume au mwanamke, isiwe na kovu Kubwa au jeraha Kubwa. Wanunuzi wa ngozi hizo walikuwa Ni raia wa Malawi, Zambia na Zaire kabla haijajtwa Congo DR.
2. Wizi wa Justine Kasusura
Justine alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi na aliajiriwa Kama dereva. Alitumwa aende airport akachukue mzigo na kuupeleka Stanbic Bank.
Jamaa akashtukia kuwa ule mzigo Ni pesa ndefu 2 million dollars. Jamaa akatoroka nao. Baada ya miaka miwili akakamatwa na akahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela, alikata rufaa na kushinda kesi.
3. Mauaji ya Dr. Kleruu Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Dr. Kleruu alipigwa risasi siku ya Krismas alipoenda kukagua mashamba ya ujamaa. Akamkuta mkulima Mwamwindi Yuko shambani kwake akifanya kazi, akamuuliza kwà nini hauko kwenye shamba la Kijiji?
Mwamwindi akajibu kwenye shamba la Kijiji hamna mtu wote wameenda kula sikukuu. Kukatokea majibishano. Mwamwindi akakasirika, akaingia ndani, ukatoka na bunduki, akampiga risasi Mkuu wa Mkoa, Kisha akaipaandisha maiti kwenye trekta na kwenda kuibwaga polisi.
Mwamwindi alihukumiwa kunyongwa Hadi kufa na Mwalimu Nyerere. Ndiye mtu pekee aliyenyongwa enzi za utawala wa Mwalimu.
4. Salim Njwete a.k.a Scorpion kutoboa mtu macho
Tukio hili la kusisimua lilimhusisha mtaalam wa karate SALIM NJWETE SCORPION na kinyozi. Scorpion alikuwa amekodiwa na watu waliokuwa wakimtumu kinyozi kuchukua mwanamke wao.
Scorpion alihukumiwa kifongo Cha miaka saba jela na kulipa milion 30
5. Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na Watu wasiojulikana.
Tukio hili la kipekee lilitokea mchana kweupeeee jijini Dodoma kwenye makazi ya viongozi ambapo Tundu Lissu akiwa kwenye lunch break alishambuliwa. Hadi leo hamna aliyekamatwa Wala kuhojiwa kwa tukio Hilo.
Matukio haya hayako kwenye mtiririko maalum wa kikalenda.
1. Matukio ya uchunaji ngozi watu mkoani Mbeya wilayani Mbozi.
Matukio haya ya aina yake yalitokea mkoani Mbeya ambako ngozi za watu zilikuwa zikichunwa na kuuzwa kwa Bei ya shilingi milioni ishirini.
Ilikuwa inatakiwa ngozi ya mtu mzima, mwanaume au mwanamke, isiwe na kovu Kubwa au jeraha Kubwa. Wanunuzi wa ngozi hizo walikuwa Ni raia wa Malawi, Zambia na Zaire kabla haijajtwa Congo DR.
2. Wizi wa Justine Kasusura
Justine alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi na aliajiriwa Kama dereva. Alitumwa aende airport akachukue mzigo na kuupeleka Stanbic Bank.
Jamaa akashtukia kuwa ule mzigo Ni pesa ndefu 2 million dollars. Jamaa akatoroka nao. Baada ya miaka miwili akakamatwa na akahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela, alikata rufaa na kushinda kesi.
3. Mauaji ya Dr. Kleruu Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Dr. Kleruu alipigwa risasi siku ya Krismas alipoenda kukagua mashamba ya ujamaa. Akamkuta mkulima Mwamwindi Yuko shambani kwake akifanya kazi, akamuuliza kwà nini hauko kwenye shamba la Kijiji?
Mwamwindi akajibu kwenye shamba la Kijiji hamna mtu wote wameenda kula sikukuu. Kukatokea majibishano. Mwamwindi akakasirika, akaingia ndani, ukatoka na bunduki, akampiga risasi Mkuu wa Mkoa, Kisha akaipaandisha maiti kwenye trekta na kwenda kuibwaga polisi.
Mwamwindi alihukumiwa kunyongwa Hadi kufa na Mwalimu Nyerere. Ndiye mtu pekee aliyenyongwa enzi za utawala wa Mwalimu.
4. Salim Njwete a.k.a Scorpion kutoboa mtu macho
Tukio hili la kusisimua lilimhusisha mtaalam wa karate SALIM NJWETE SCORPION na kinyozi. Scorpion alikuwa amekodiwa na watu waliokuwa wakimtumu kinyozi kuchukua mwanamke wao.
Scorpion alihukumiwa kifongo Cha miaka saba jela na kulipa milion 30
Scorpion ni mhalifu hatari ambaye amekuwa akifanya mambo mengi ya kinyama kwa watu na mali zao eneo la Buguruni na maeneo mengi ya jijini Dar na Tanzania kwa ujumla.
Wiki iliyopita alifanya tukio la kinyama la kumtoa macho mpita njia maeneo ya Buguruni na wananchi wakawa wanaogopa hata kusaidia, ila inaonesha ana genge kubwa analoshirikiana kufanya huu unyama na ndio mana anapata jeuri ya kufanya unyama wa kutisha mbele za watu bila kuogopa.
Hivyo tunamuomba Waziri wa mambo ya Ndani Mh Mwigulu Lameck Nchemba, IGP Ernest Mangu na Idara yote ya usalama wa taifa wafuatilie vizuri mizizi ya huyu mtu na kuing'oa hiyo mizizi, ili kuweza kuwalinda watanzania na watu hatari kama hawa.
Kingine ni kuiomba serikali itoe adhabu kali kwa huyu muuaji scorpion ili pia iwe fundisho kwa wenzake waliopo mtaani.
Hizi ni baadhi za picha za muuaji scorpion na aina ya maisha yake
View attachment 413366
Mshindi wa shindano laDUME Challenge 2012, Salum Njwete "Samjet" (kushoto) akipokea hundi ya shilingi milioni 20 na cheti cha ushindi toka Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania, Maurice Chirimi (kulia) katika hafla fupi iliyofanyika ofisi za T-MARC jijini Dar es Salaam Jumatatu. Hongera Samjet.
View attachment 413152View attachment 413153View attachment 413154View attachment 413155View attachment 413156View attachment 413157View attachment 413158View attachment 413159
Habari zaidi soma=> Mahakama ya Ilala imemhukumu Salum Njwete 'Scorpion' Kifungo cha miaka saba na faini ya sh milioni 30
5. Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na Watu wasiojulikana.
Tukio hili la kipekee lilitokea mchana kweupeeee jijini Dodoma kwenye makazi ya viongozi ambapo Tundu Lissu akiwa kwenye lunch break alishambuliwa. Hadi leo hamna aliyekamatwa Wala kuhojiwa kwa tukio Hilo.
Breaking News: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA....ANGALIA PICHA HAPA
by Malunde TV 6 months ago
![]()
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu akiendelea kupatiwa matibabu baada ya kupigwa Risasi hii leo mkoani Dodoma (Picha na Mwananchi Digital)
![]()
Mbowe akiwa na Dereva wa Tundu Lissu aliyeshika nguo zenye damu