Maswali yanayotoka kwenye Tax Management Assistant II ni ya muundo upi?

Kweli kabisa hii itasaidia wengi maana interview ya kwanza niliitwa ila nilikosa cheti Og cha kuzaliwa wakanitoa kabisa hata Ndani sikuingia hii ya pili mungu bariki niitwe tena ...
 
wadau me naomba kujua anuani ya kutumia maombi ili niandike kwenye barua
Mbn ipo mwishoni pale kwnye tangazo Ni ya utumishi ndo inatumika.
P.O. Box 2320, University of Dodoma, Utumishi/Asha Rose Migiro Buildings -
Dodoma.
 
Back
Top Bottom