KERO Mashine za Mpunga zimekuwa kero na hatari kwa Afya za watu hapa Soko la SIDO - Mbeya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
ila ni kweli, kumekua na changamoto hii ya mabaki ya mpunga kua kero saana. napendekeza hizi mashine kama inawezekana zingehamishwa na kupelekwa pembeni ya mji kidogo ili kukifanya soko la SIDO kua safi
 
ila ni kweli, kumekua na changamoto hii ya mabaki ya mpunga kua kero saana. napendekeza hizi mashine kama inawezekana zingehamishwa na kupelekwa pembeni ya mji kidogo ili kukifanya soko la SIDO kua safi
Kabisa
 
Binadamu mwenye ngozi nyeusi ni Nyani wawezao kuvaa nguo na miwani
 
Back
Top Bottom