EiM Tanzania
Member
- Mar 12, 2018
- 11
- 14
Yanaweza kutumika kutengenezeka mkaa.Hayawezi kutumika kama chanzo cha nishati?
Yanaweza kutumika kutengenezeka mkaa.Hayawezi kutumika kama chanzo cha nishati?
Uyole ni nje ya mji?Tanzania hapa hakuna anaejali mipango Miji na hasa huko Mbeya.
Hao wafanyabiashara waliochagua wenyewe hapo Sido.
Mwisho unawekaje viwanda hapo Mjini Kwa nini visiende Uyole,Mbalizi na maeneo mengine ya Nje ya Mji?
Ndio,kwani wewe unwzungumzia Uyole ipi?Uyole ni nje ya mji?