Sio kwamba hawana jema KWA ccm,na nchi isitawalike how, ? alihali wote ni watz,
Hoja zingine KWA chama Chako ni nzuri tu, ila uliposema wanataka nchi isitawalike ndo umeteleza mkuu
Cha muhim kila chama iwe ccm,Chadema n.k kijikite kwenye ubunifu wa kuvutia wanachama, kadri kinavyoweza na mahamuzi yabaki KWA wananchi,nani anaestahili kuwaongoza KWA kupitia chama kipi basi,
Binafsi natamani kila chama kiwe na nguvu ili kuleta ushindani wa kisiasa wenye tija , Ccm hata ikiongoza miaka mia ili Hali viongozi wamepatika KWA njia ya haki KWA kupitia tume huru , sawa kabisa Wala hakuna shida, hivyo hivyo chama kingine kikichukua dola KWA taratibu hizo, hakuna shida,