Mambo matano hatari ukiwa CCM, moja lilimkuta Comrade Chongolo

Hata Chadema wanayo hiyo kitu. Tofauti ya CCM na Chadema ni kuwa CCM return ni kubwa ( unaweza lamba uteuzi) wakati Chadema unaishia kupostiwa kwenye mitandao. Zengwe na fitina za Chadema anazijua vzuri Zitto
 
Hata Chadema wanayo hiyo kitu. Tofauti ya CCM na Chadema ni kuwa CCM return ni kubwa ( unaweza lamba uteuzi) wakati Chadema unaishia kupostiwa kwenye mitandao. Zengwe na fitina za Chadema anazijua vzuri Zitto
Mkuu si tulikubaliana kuwa Chadema imekufa au? Kwani mifano yoyote ya Fisiemu lazima mkachungulie kwa Chama kilichokufa kuwa wao wanafanyaje
 
Back
Top Bottom