Mambo 6 kuhusu Majeruhi ajali ya Wanafunzi Arusha waliofatwa na Ndege kupelekwa Marekani

Tunahitaji kutumia akili,nguvu nyingi na rasilimali fedha kuimarisha hospitali zetu,ziwe na wataalam na vifaa vya kisasa ili huduma muhimu zipatikane humu nchini,kuliko kutegemea misaada na kutumia fedha nyingi kufata matibabu nje ya nchi.
Hao majeruhi wamepelekwa MOI wakaonekana hawawezi kuhudumiwa?Nawasiwasi na Agenda nyingine nyuma ya pazia juu ya swala la majeruhi hawa.Nawaombea Mungu wapone,ila naona gharama zinazotumika zingeweza kuimarisha kitengo kimoja wapo kwenye hospitali zetu,na kuwasaidia wahanga wengi zaidi (najiuliza mwenyewe)
 
Mkuu unge balance kidogo story yako, sioni popote ukitaja uhusika wa wale wamisionari wa STEMM katika kufanikisha hili, pia yule congressman alie Pambana Usiku na mchana, kutafuta vibali vya kufanikisha safari hii, kuna watu wengi sana nyuma ya hili ila credit umeamua kumpa nyalandu!
 
Mkuu unge balance kidogo story yako, sioni popote ukitaja uhusika wa wale wamisionari wa STEMM katika kufanikisha hili, pia yule congressman alie Pambana Usiku na mchana, kutafuta vibali vya kufanikisha safari hii, kuna watu wengi sana nyuma ya hili ila credit umeamua kumpa nyalandu!
Siasa ndugu inaharibu sana tena alietoa hii Killard ayotv unategemea proffesionalism kweli? Ni vururu vururu tu ilimradi nyalandu kasifiwa
 
Kuna kitu sikielewi hapa... !! Imeshindikana hao watoto kutibiwaa
Hapa tz...

Em ngoja kwanza...
 
Tunahitaji kutumia akili,nguvu nyingi na rasilimali fedha kuimarisha hospitali zetu,ziwe na wataalam na vifaa vya kisasa ili huduma muhimu zipatikane humu nchini,kuliko kutegemea misaada na kutumia fedha nyingi kufata matibabu nje ya nchi.
Hao majeruhi wamepelekwa MOI wakaonekana hawawezi kuhudumiwa?Nawasiwasi na Agenda nyingine nyuma ya pazia juu ya swala la majeruhi hawa.Nawaombea Mungu wapone,ila naona gharama zinazotumika zingeweza kuimarisha kitengo kimoja wapo kwenye hospitali zetu,na kuwasaidia wahanga wengi zaidi (najiuliza mwenyewe)

Kuna kitu kinafichwa hapa... Wacha tusubiri
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom