Aliishawabia huyo hakai Dar mbona wagumu kuelewa?Asimsahau kumtaja Ritz one
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoaHivi ktk jeshi la Polisi, RC Makonda yuko ktk level gani haswa?
Unavu ndo nini?KAMA AJIFANYA ANA UNAVU KULIKO WAKUBWA WAKE ATAJE TENA MAJINA MBONA LEO HAJATAJA
We hujasika wakisema ndio marafiki zake na ndio waliofadhiri safari? Kwa kifupi ni kuwa naye ni mtuhumiwa wa kujipatia mali kutokana na shughuli hiyo ukisoma katikati ya mistariKikao hakina kichwa cha habari hiyo unayoitaka wewe so subiri Wauza udaga mtaanzisha hiyo topic yenu ya Mali msipindishe mada hapa
UbavuUnavu ndo nini?
Umefanya utafiti?Muacheni Mh afanye kazi tunaomuunga mkono tuko wengi kuliko wapingaji
Zitto anasema PM hawana mpango nae,unajua kwanini?mkuu usicheze na bunge likiamua kuchukua nafasi yake anang'oka ndani ya dakika tu.
Siamini
KwambaSiamini