Makonda: Awamu ya 3 imekamilika, tukutane ukumbi wa Mwl Nyerere

KAMA AJIFANYA ANA UBAVU KULIKO WAKUBWA WAKE ATAJE TENA MAJINA MBONA LEO HAJATAJA
 
Kikao hakina kichwa cha habari hiyo unayoitaka wewe so subiri Wauza udaga mtaanzisha hiyo topic yenu ya Mali msipindishe mada hapa
We hujasika wakisema ndio marafiki zake na ndio waliofadhiri safari? Kwa kifupi ni kuwa naye ni mtuhumiwa wa kujipatia mali kutokana na shughuli hiyo ukisoma katikati ya mistari
 
Mipaka ya Mh. ni DAR peke yake.List mpya ina majina ya watu wako Ulaya tutaiomba Interpol...
Saaafi saana RC kamata wote.
 
Back
Top Bottom