Makonda aporomosha matusi kwa mhariri wa gazeti baada ya kuulizwa kuhusu cheti chake cha Form four

Waku heshima kwenu wote, pamoja Na umri wa Daud kuwa Mdogo! Lkn bado inaonekana elimu yake ina walakini! His is not professional kbs! He is thr kumfurahisha aliye mteua! Lingine pia elimu ikiwa Na shida Ni rais zaid watu kukutumia wanavyotoka kwa maslahi Yao! This is what is happening kwa Daudi! Bado tutaona mengi
 
huyo mwandishi angepigwa kabisa

hata kama makonda kafoji ndio atakubali? au hata asingetukana ndio maana yake hajafoji?


mwandishi kilaza, aanze safari ya kutafuta shule alizosoma makonda, atapata ushahidi

mimi ningempiga vichwa
 
Back
Top Bottom