Makonda acha tabia za kiherehere. Kugombanisha serikali na viongozi wa dini

NDOTO KAVU

JF-Expert Member
Feb 15, 2011
1,191
775
Wanandugu

Nimemwona Makonda kwenye clip inayotembea huko mtandaoni. Kwa kweli inaonyesha kama amepatwa na kiwewe cha ajabu huu uchaguzi.

Amepaniki kinyama kuonyesha dhahiri niwasisi wa haya maovu ya kuvunja haki za uchaguzi na nyinginezo.

Ninavyojua makuhani wetu wa dini hawana mipaka kwenye kuonya kinachowatokea waumini wao. Watapaaza sauti kwa wasio na sauti. Ili wahusika wasikie.

Najiuliza mbona wakijenga shule nawaambiwi wameingilia wizara ya Elimu?

Wakijenga hospitali hawaambiwi wameingilia wizara ya afya?

Kunapokuwa na ugomvi kwa nini wanashirikisha viongozi wa dini kutafuta amani?

Uongozi wa Makonda ni wa kishari, ugomvi, ubabe, fitina na kujiamini kwamba anajua kila kitu.

Tunamwaambia wazi hafai kuwa kiongozi aliyemteua amewakosea watanzania. Awaombe msamaha.

No Reforms No Election.
 
Wanandugu
Nimemwona Makonda kwenye clip inayotembea huko mtandaoni. Kwa kweli inaonyesha kama amepatwa na kiwewe cha ajabu huu uchaguzi.

Amepaniki kinyama kuonyesha dhahiri niwasisi wa haya maovu ya kuvunja haki za uchaguzi na nyinginezo.

Ninavyojua makuhani wetu wa dini hawana mipaka kwenye kuonya kinachowatokea waumini wao. Watapaaza sauti kwa wasio na sauti. Ili wahusika wasikie.

Najiuliza mbona wakijenga shule nawaambiwi wameingilia wizara ya Elimu?

Wakijenga hospitali hawaambiwi wameingilia wizara ya afya?

Kunapokuwa na ugomvi kwa nini wanashirikisha viongozi wa dini kutafuta amani?

Uongozi wa Makonda ni wa kishari, ugomvi, ubabe, fitina na kujiamini kwamba anajua kila kitu.

Tunamwaambia wazi hafai kuwa kiongozi aliyemteua amewakosea watanzania. Awaombe msamaha.

No Reforms No Election.
Gentleman,
nadhani ni muhim zaidi viongoz wa dini kujiepusha na uropokaji wenye chuki ndani yake hasa hawa wa TEC ya Kitima 🐒
 
Gentleman,
nadhani ni muhim zaidi viongoz wa dini kujiepusha na uropokaji wenye chuki ndani yake hasa hawa wa TEC ya Kitima 🐒
Amani ni jambo linaloanzia rohoni. Amani inapotoweka hakuna mwanasiasa awezaye kuituliza. Serikali huitegea sana dini ili mambo yaende.

Dini ikiamua kukaa kimya basi raia wataishi kama wanyama halafu mwishowe amani itatoweka.
 
Amani ni jambo linaloanzia rohoni. Amani inapotoweka hakuna mwanasiasa awezaye kuituliza. Serikali huitegea sana dini ili mambo yaende.

Dini ikiamua kukaa kimya basi raia wataishi kama wanyama halafu mwishowe amani itatoweka.
kwahiyo suluhisho ni uropokaji madhabahuni gentleman?🐒
 
Gentleman,
nadhani ni muhim zaidi viongoz wa dini kujiepusha na uropokaji wenye chuki ndani yake hasa hawa wa TEC ya Kitima 🐒
Hata serikali ni waumini wao lazima wawafundishe na kuhubiri.

Serikali ni waumini na wanashiriki ibada. Na viongozi wa dini niwajibu wao kuwahudumia kiroho kulingana na maandiko matakatifu. Haiwezekani waogope kuwarekebisha waumini i wao wanapoona sintofahamu kwa ajili ya kuwaogopa akina Makonda. Makonda ni wakutoa onyo kwa maaskofu kweli?

Atueleze vizuri habari za utekaji na mauwaji kama hataki viongozi wa dini wakemee

Basi serikali isiende maeneo yao ya huduma.
 
Mleta mada ungetusaidia na sisi ambao hatujaiona hiyo clip ya Makonda kwa kuweka hapa ili tuwe na uelewa wa pamoja.
 
Wanandugu

Nimemwona Makonda kwenye clip inayotembea huko mtandaoni. Kwa kweli inaonyesha kama amepatwa na kiwewe cha ajabu huu uchaguzi.

Amepaniki kinyama kuonyesha dhahiri niwasisi wa haya maovu ya kuvunja haki za uchaguzi na nyinginezo.

Ninavyojua makuhani wetu wa dini hawana mipaka kwenye kuonya kinachowatokea waumini wao. Watapaaza sauti kwa wasio na sauti. Ili wahusika wasikie.

Najiuliza mbona wakijenga shule nawaambiwi wameingilia wizara ya Elimu?

Wakijenga hospitali hawaambiwi wameingilia wizara ya afya?

Kunapokuwa na ugomvi kwa nini wanashirikisha viongozi wa dini kutafuta amani?

Uongozi wa Makonda ni wa kishari, ugomvi, ubabe, fitina na kujiamini kwamba anajua kila kitu.

Tunamwaambia wazi hafai kuwa kiongozi aliyemteua amewakosea watanzania. Awaombe msamaha.

No Reforms No Election.
Hili chawa sijui huwa linawaashwa na nini? Sijui kwanini halimfuati mungu wake mwendazake.
 
Hata serikali ni waumini wao lazima wawafundishe na kuhubiri.

Serikali ni waumini na wanashiriki ibada. Na viongozi wa dini niwajibu wao kuwahudumia kulingana na maandiko matakatifu hawezi kuogopa kurekebisha wanapoona panapotopotoka kwa ajili ya akina Makonda. Makonda ni wakitoa onyo kwa maaskofu kweli.

Atueleze vizuri habari za utekaji na mauwaji kama hataki viongozi wa dini wakemee

Basi serikali isiende maeneo yao ya huduma.
viongoz wa katoliki waliochoka kuhubiri neno la Mungu, wajitokeze kwenye majukwaa ya kisiasa sio kuropoka na kuchochea chuki na halafu wanajificha madhabahuni,

that's nonsense gentleman 🐒
 
viongoz wa katoliki waliochoka kuhubiri neno la Mungu, wajitokeze kwenye majukwaa ya kisiasa sio kuropoka na kuchochea chuki na halafu wanajificha madhabahuni,

that's nonsense gentleman 🐒
Kawafundishe acha uvivu wa kufikiria.
 
Wanandugu

Nimemwona Makonda kwenye clip inayotembea huko mtandaoni. Kwa kweli inaonyesha kama amepatwa na kiwewe cha ajabu huu uchaguzi.

Amepaniki kinyama kuonyesha dhahiri niwasisi wa haya maovu ya kuvunja haki za uchaguzi na nyinginezo.

Ninavyojua makuhani wetu wa dini hawana mipaka kwenye kuonya kinachowatokea waumini wao. Watapaaza sauti kwa wasio na sauti. Ili wahusika wasikie.

Najiuliza mbona wakijenga shule nawaambiwi wameingilia wizara ya Elimu?

Wakijenga hospitali hawaambiwi wameingilia wizara ya afya?

Kunapokuwa na ugomvi kwa nini wanashirikisha viongozi wa dini kutafuta amani?

Uongozi wa Makonda ni wa kishari, ugomvi, ubabe, fitina na kujiamini kwamba anajua kila kitu.

Tunamwaambia wazi hafai kuwa kiongozi aliyemteua amewakosea watanzania. Awaombe msamaha.

No Reforms No Election.
Huyu ni henchman mabadiriko hayawe kumlinda hawezi kupona hata kidogo, ni suspect mkobwa wa mpango maalumu
 
Muu
Wanandugu

Nimemwona Makonda kwenye clip inayotembea huko mtandaoni. Kwa kweli inaonyesha kama amepatwa na kiwewe cha ajabu huu uchaguzi.

Amepaniki kinyama kuonyesha dhahiri niwasisi wa haya maovu ya kuvunja haki za uchaguzi na nyinginezo.

Ninavyojua makuhani wetu wa dini hawana mipaka kwenye kuonya kinachowatokea waumini wao. Watapaaza sauti kwa wasio na sauti. Ili wahusika wasikie.

Najiuliza mbona wakijenga shule nawaambiwi wameingilia wizara ya Elimu?

Wakijenga hospitali hawaambiwi wameingilia wizara ya afya?

Kunapokuwa na ugomvi kwa nini wanashirikisha viongozi wa dini kutafuta amani?

Uongozi wa Makonda ni wa kishari, ugomvi, ubabe, fitina na kujiamini kwamba anajua kila kitu.

Tunamwaambia wazi hafai kuwa kiongozi aliyemteua amewakosea watanzania. Awaombe msamaha.

No Reforms No Election.
Muuaji yule, mtu akitaja tu haki, anachanganyikiwa!
 
Back
Top Bottom