Mpenda kazi
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 178
- 104
Duh!
Kwaio ali kiba habari zake haziwezi kuandikwa bila kumhusisha Diamond nadhani alikiba atakua ni kishazi tegemezi...
KAKA kiba kama bible kuielewa ujiongeze ukiisoma kama hadithi imekula kwako....endelea kuamini kiba hana nyumba..kila la kheri hahahahaaaaaaHizo milioni 200 kwa albamu unazijua au unazisikia? Mtu mwenye nyumba ndo huyo aliyekuwa anaishi kwa mama na kuanza kupanga juzi juzi tu hapa.
Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza
Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi
Kumbe nyumba anayoishi Alikiba kapanga!
hata AY,FA, SUGU na wengine kibao hawajaonesha wala kusema wananyumba basi tuhitimishe hivii kwa wasanii wote wa bongofleva mwenye nyumba ni diamond tu haya tufunge mjadala.Na pop it in
View attachment 650126
Naan kama ilivyo kwa wengine pia mimi ni mpenzi mkubwa sana wa BongoFlavor, Na leo nilikua nafatilia kwa kina kuhusu lifestyle ya mwanamuziki ALIKIBA ambae kwa kawaida ni ngumu kujua details zake kutokana na usiri wake, nilishawahi kuandika hapo nyuma kuhusiana na msanii DIAMOND PLATNUMZ maisha yake na mafanikio yake katika muziki, na leo nikashawishika kumfuatilia ALIKIBA na kusema ukweli kuna mengi ya kujifunza kupitia huyu bwana mdogo,
Melezo katika video
Alikiba pia ni moja ya wasanii wenye mkwanja mrefu kuliko boss wako (napendaga kusema hivyo) na mafanikio yake yalianza kuonekana kuanzia mwaka 2014 alipoamka rasmi na kurudi kwenye game kwa kishindo na ngoma yake ya "MWANA" hapo ndipo milango yake ya mafanikio ikaanza kufunguka na matuzo ya kila pembe ya dunia hii yakaanza kumsogelea, pia ni katika kipindi hichi alikiba alijizolea mamilioni ya mashabiki japo wengi wa mashabiki zake wamemfuata kutokana na chuki walizonazo kwa mpinzani wake, yani DIAMOND PLATNUMZ,
Mafanikio ya alikiba pia yaliongezewa nguvu na ile deal aliyopata ya kujiunga na label kubwa kabisa ya muziki duniani yani "SONY MUSIC" hakuna anaejua amechota kiasi gani katika deal hii lakini kwa hakika ni mpunga mrefu,
Maisha yake ya mapenzi wengi wanafahamu ana watoto wanne na inasemekana kila mtoto na mama yake
Sitaki kuweka maneno mengi lakini mwisho niseme tu inapendeza na kutia moyo kuona vijana wetu wanapata mafanikio makubwa kutokana na kazi zao inatia moyo sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma, kwasasa mziki wa tanzania unazalisha mamilionea kila kukicha ni kitu kizuri sana
Majungu yatawatesa mno, mpaka siku mtakapoyaacha.Kuna tofauti ya kupata pesa na kuwa tajiri
Kama yanavyokutesa wewe eenhMajungu yatawatesa mno, mpaka siku mtakapoyaacha.
Kwaio ali kiba habari zake haziwezi kuandikwa bila kumhusisha Diamond nadhani alikiba atakua ni kishazi tegemezi...
wote ni wasanii wakubwa hivyo ukimuongelea Diamond lazima umtaje ali na ukimuongelea ali lazima umtaje diamondKwaio ali kiba habari zake haziwezi kuandikwa bila kumhusisha Diamond nadhani alikiba atakua ni kishazi tegemezi...
Yah, hicho ndo kinachomfanya kupendwa na wengiJamaa nampendaga hanaga matangazo wala mashindano
Ni kweli watu wanapenda majungu mkuu hawapendi kuskia hizi story za mtu kufanikiwaMajungu yatawatesa mno, mpaka siku mtakapoyaacha.
Tutajenga tu mzeeTutajenga viwanda kwelii...
Las Vegas ya LeadersJuzi katoka kupiga show las vegas hapo, sasa utasemaje hapati pesa
Naskia anaishi na ndgu zke wote humo ndani wkti nyumba ni ndogo tu,sebule yke ni pale kwetu pazuri utamkuta kule lounge na wauza sura wkeAnautajiri gani? Wakati anakaa kijumba kibovu pale segerea chama! Tena cha kupanga! Peleka propaganda zako hapa!
hahaahaa.. kumbe ni "umesikia"Naskia anaishi na ndgu zke wote humo ndani wkti nyumba ni ndogo tu,sebule yke ni pale kwetu pazuri utamkuta kule lounge na wauza sura wke