Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza

Maneno matupu bila udhibitisho ni sawa na bure mbona mikataba sony na show na inajukikana
 
Duuuh kweli jamaa tajiri ndio mana mpka leo kapanga...nyumba yke anajenga mdgomdogo
he he he kudadeki umemaliza!!!! halafu huwa nashangaa kwaninini watu bize kumtetea mtu ambaye ameshindwa kujitetea kwa vitendo.Kwa habari ya mtoa mada ALYY KIBA bado anapanga nyumba!

GARI-JEURI.jpg
GARI-JEURI.jpg
 
Nyie watu wabaya sana yani kila kukicha mnasifia dogo yeye alivyo fala likichwa linajaa maji anashindwa kufanya maendeleo yake cz mpaka sasa kiba sio msanii wa kusema ana mkwanja
 
Navy kenzo kaupata wapi mkuu, tuanzie hapo
Kazi ya sanaa, Kampuni ya The Industry, halafu woote wa kishua mbaya sana mmoja mtoto wa Mkono. Kwa ufupi wamekulia maisha ya mboga saba si kama Ali Kiba muhuni anayeshinda anakula mirungi na kuvuta shisha K/koo na aliyewekeza kwenye kuzaa watoto watano kila mtoto ana mama yake.
 
Anautajiri gani? Wakati anakaa kijumba kibovu pale segerea chama! Tena cha kupanga! Peleka propaganda zako hapa!
 
Back
Top Bottom