Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
haha, amna team hapa mzee tunajadili tuKibakuli atawatesa sana
Team domo
Haa haa sawa babahaha, amna team hapa mzee tunajadili tu
Huwezi kumsoma huyu dogo, utaambulia majungu tuu shekhee , huyu star achana nae kbs ,hajioneshi kwani ukipanga ndo usiwe na nyumba ,kalagabahoDuuuh kweli jamaa tajiri ndio mana mpka leo kapanga...nyumba yke anajenga mdgomdogo
Huyo kapanga hana jipya hata shishibaby anamzidi maendeleoHuwezi kumsoma huyu dogo, utaambulia majungu tuu shekhee , huyu star achana nae kbs ,hajioneshi kwani ukipanga ndo usiwe na nyumba ,kalagabaho
Ta Ruttashobolwa kwema? Nimekumissutajiri alionao Alikiba ni watoto tuu
he he he kudadeki umemaliza!!!! halafu huwa nashangaa kwaninini watu bize kumtetea mtu ambaye ameshindwa kujitetea kwa vitendo.Kwa habari ya mtoa mada ALYY KIBA bado anapanga nyumba!Duuuh kweli jamaa tajiri ndio mana mpka leo kapanga...nyumba yke anajenga mdgomdogo
Kazi ya sanaa, Kampuni ya The Industry, halafu woote wa kishua mbaya sana mmoja mtoto wa Mkono. Kwa ufupi wamekulia maisha ya mboga saba si kama Ali Kiba muhuni anayeshinda anakula mirungi na kuvuta shisha K/koo na aliyewekeza kwenye kuzaa watoto watano kila mtoto ana mama yake.Navy kenzo kaupata wapi mkuu, tuanzie hapo
nyumba ya kwanza ya king kiba aliijenga kwa pesa ya albam yake ya kwanza cinderela ambapo ilimuingizia kitu kama 200M watu wana vitu kaka ila hawana porojo na nahisi ndo uanaume.Ali Kiba hiyo nyumba kaipata wapi? Msanini mwenye mjengo wa hivyo hapa Bongo ni Navy Kenzo.
jamaa kama wahindi tu mpaka leo na utajiri wao pale kariakoo wameishia kupanga zile gorofa za nhcDuuuh kweli jamaa tajiri ndio mana mpka leo kapanga...nyumba yke anajenga mdgomdogo