Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,401
- 4,370
Demokrasia kwa Zitto anaona ni bora, lakini yeye aendelee kupiga hela za PAC na mikataba fake, kwake ni poa tu, watu waibe wagawane hela za nchi, wafanye watakacho wawe wazembe kazini, so far kuna Demokrasia kwake Zitto ni poa tu! Huyu ameshavurugwa kwa sasa, hana tena maono!Wewe na mabwana zako mnashindwa kuelewa kuwa penye demokrasia ya kweli hakuna ufisadi?
Tunashindwa kuwasaidia kwani mmepungukiwa akili, mngepungukiwa damu tungejitolea tukawapa!