Zitto hana lolote, ufisadi ka u ditch. Ha ha ha ha
Yani bora ufisadi .Duuu sasa huyu mtu anafikiria nini, ya kwamba unaweza kuwa na nchi yenye demokrasia ambayo ina ufisadi? Sasa utapata je demokrasia kama kuna ufisadi, maana ktk nchi ya kifisadi unaweza nunua demokrasia. Yani nchi ya kifisadi unaweza nunua haki ya mtu bila tatizo ama unaweza nunua kura za wapiga kura bila tatizo ama unaweza nunua uhuru wa mtu kujieleza. sasa Zitto anaongelea demokrasia gani ktk nchi ya kifisadi? Zitto should check with his doctor , ASAP.
Yani bora ufisadi .Duuu sasa huyu mtu anafikiria nini, ya kwamba unaweza kuwa na nchi yenye demokrasia ambayo ina ufisadi? Sasa utapata je demokrasia kama kuna ufisadi, maana ktk nchi ya kifisadi unaweza nunua demokrasia. Yani nchi ya kifisadi unaweza nunua haki ya mtu bila tatizo ama unaweza nunua kura za wapiga kura bila tatizo ama unaweza nunua uhuru wa mtu kujieleza. sasa Zitto anaongelea demokrasia gani ktk nchi ya kifisadi? Zitto should check with his doctor , ASAP.