Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,512
- 40,616
- Thread starter
- #181
Ebu soma huu uzi..Wazee wenzio wakat wanatafuta viwanja magomen na kinondon ww ulkua unaangaika na hips za pis kal kuzkomoa kwa kuzizalisha haya tuko apa mwanaghati tunajpgia uzao wako pole pole
Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia. Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho wao huwa ni kuoza ardhini. Kwa sisi binadamu tukifa, ndio tunafukiwa kwenye makaburi ya chini ya...
www.jamiiforums.com