Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, mpo wapi?

Mushkov

Senior Member
Feb 16, 2024
111
245
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
 
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
Kwani wewe Tanzania umehamia juzu usio jua kwamba maaskofu ni machawa na wabinafsi bakwata ni tawi la CCM.
 
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
Kutwa wanaomba fedha serikalini unadhani watashughulika na rushwa?
 
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
kwamba wajiunge na mpotishaji, mzushi na muongo, right?🐒
 
Kwani wewe Tanzania umehamia juzu usio jua kwamba maaskofu ni machawa na wabinafsi bakwata ni tawi la CCM.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa! Askofu Malasusa ni chawa namba Moja!
 
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
Wanahabari wapi? levo za wakin Mwijaku? Maaskfo kama wakina Mawamposa?
 
Waumini wana matatizo kibao ya kiroho lakini wao hawana time kabisa kushughulikia matatizo ya waumini,sa hizi ukiwa na matatizo ya kiroho,hela mbele kwanza
 
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa?
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika mashariki, ni Tanzania pekee yenye bei kubwa ya sukari. Hii inathibitisha ukweli wa hoja za mh. Mpina.
Kama ndivyo, kwa nini viongozi wetu wa Dini mmekaa kimya?
Uchumi wa Nchi unahusu maisha ya watu na watu hawa ndo Waumini wenu. Hawa Waumini ndo wanaowapeni sadaka na michango mbalimbali ili muweze kuendesha taasisi. Kwa nini sasa mnakuwa na tabia ya kukaa kimya wakati Nchi inapokuwa inahujumiwa na genge fulani kwa maslahi yake?
Angalau TEC, mara chache huwa mnajitokeza, lakini tunatakiwa kuongeza speed ili kuepusha Taifa kuangukia mikononi mwa MAJIZI.
Wanahabari nao ni hawana msaada wowote Katika Nchi hii tofauti kabisa na Wanahabari wa Nchi zingine Duniani.
Sisi Watanzania tulirogwa na nani?
Wamekaa stendibai wakisubiri wito kwenda kuchukua bahasha za khaki.
 
Kwani wewe Tanzania umehamia juzu usio jua kwamba maaskofu ni machawa na wabinafsi bakwata ni tawi la CCM.
Kama ndivyo, kesho nitaongoza maandamano kwenda kwa paroko kudai sadaka na zaka zangu zote nilizotoa kwa kipindi chote.
 
Back
Top Bottom