- Thread starter
- #41
Ndo ushangaeKwahiyo kura milion 6 zinampa nafasi gani ktk kamati kuu ya chama??
Ndo ushangaeKwahiyo kura milion 6 zinampa nafasi gani ktk kamati kuu ya chama??
Njaa mbaya sanaBaada ya kupanga kuvua gwanda na kuamua kuvaa kijani sasa naweza kuhoji bila wasiwasi maaana ukiwa ndani ukihoji unaitwa msaliti kama dk mihogo
Iv Lowasa ni nani ndani ya CHADEMA?? ana cheo gan? Alichaguliwa na nani? Alipigiwa kura na nani? Akapitishwa na nani? Na kuapishwa na nani?
Maana kila vikao vya chama yupo na tena anakaa meza kuu na viongozi wakuu wa chama waliochaguliwa kihalali!! Ananipa wakati mgumu sana.
Siku hizi Mbowe anafata matamko ya Lowasa hata kama hayaendani na itikadi za chama hiki ivi Lowasa ni nani ndani ya chama?
Najua hakuna mwenye jibu na wote mtakuja hapa kunitukana lakini pia mjiulize iv hoja na ushawishi unafanywa kwa matusi na fujo??
Back to CCM
Mno mpaka imesababisha mtu mmoja auziwe chamaNjaa mbaya sana
Yaani Lowassa anaifanya CCM ikeshe ikimjadiliMno mpaka imesababisha mtu mmoja auziwe chama
Kabisa mkuu iliweza kwa yesu! IkJa kwA dr mihogo na prf; wa akaunti! Now inaelekea kwa nyikA!! DAAh!! Kwel bndm tumepagaw tunapanick kwa kitu ambacho tumeki made cc!Ni nguvu ya pesa ilifanya yote hayo
Na alishiriki vikao vya kuwaumiza, Mungu awarehemu marehemu wote watatu waliopoteza maisha, kama wangejua aliyeshiriki kuwaumiza ataamia upande wao...... SijuiCHADEMA ni wahuni tu
Hawa wameni disappoint sana kwa kweli!Wkt wana CHADEMA wanakufa Arusha huyu Lowassa alikuwa CCM
Mbowe na akina Lema wana dhambi sana!Na alishiriki vikao vya kuwaumiza, Mungu awarehemu marehemu wote watatu waliopoteza maisha, kama wangejua aliyeshiriki kuwaumiza ataamia upande wao...... Sijui
Kupoteza Hisia kwa mkeo kunakusababishia haya yote, hutuliiii!!!!Baada ya kupanga kuvua gwanda na kuamua kuvaa kijani sasa naweza kuhoji bila wasiwasi maaana ukiwa ndani ukihoji unaitwa msaliti kama dk mihogo
Iv Lowasa ni nani ndani ya CHADEMA?? ana cheo gan? Alichaguliwa na nani? Alipigiwa kura na nani? Akapitishwa na nani? Na kuapishwa na nani?
Maana kila vikao vya chama yupo na tena anakaa meza kuu na viongozi wakuu wa chama waliochaguliwa kihalali!! Ananipa wakati mgumu sana.
Siku hizi Mbowe anafata matamko ya Lowasa hata kama hayaendani na itikadi za chama hiki ivi Lowasa ni nani ndani ya chama?
Najua hakuna mwenye jibu na wote mtakuja hapa kunitukana lakini pia mjiulize iv hoja na ushawishi unafanywa kwa matusi na fujo??
Back to CCM
Kabisa mkuu, natamani siku Dr slaa anarudi tumpokee airport port na huo uwe mwanzo wa kudai muda wetu, rasilmali zetu, nguvu zetu, hatuwezi kuporwa chama chetu pendwa tulichopigania na waroho wa pesaMbowe na akina Lema wana dhambi sana!
Vijana wale Arusha waliandamana kupinga ufisadi
Lowassa na wenzake walilipongeza jeshi la Polisi
CHADEMA ASILI tuchukue chama chetu!
HhahahahahaKupoteza Hisia kwa mkeo kunakusababishia haya yote, hutuliiii!!!!
Wewe kuwezeshwa kuwepo tu mtandaoni ni maendeleo.Imarisheni CCM yenu , irawale milele tuone kama hayo maendeleo yatakuwepo. Maana swala la Lowassa linawanyima usingizi usiku huu wote.
Lakini pia ujue mkt ananafasi zake za uteuzi . Anayo hiyari kama ilivyo huko CCM kumteua mwanachama yeyote kuwa mjumbe wa halmashauri kuu so hatuoni baya na kosa lolote
DC saa ngapi upo ofisini huku tuachie sisi tunaoungua na jua. D C ukishinda mitandaoni wilaya utakuwa doro!Wewe kuwezeshwa kuwepo tu mtandaoni ni maendeleo.
Kumbuka hilo.
DC saa ngapi upo ofisini huku tuachie sisi tunaoungua na jua. D C ukishinda mitandaoni wilaya utakuwa doro!
Hata mkifanya hila WaTz wa leo si wale wa jana. Zaidi ya nusu yao wanakichukia chama chako
Vilaza wa kuharibu kura kama wa kuleeee ccm hamna ndo maanaMmeenda Dodoma kuchagua? Au kukabidhiana, tangu lini MTU akapata kura zote isiwepo hata moja ya kuharibika?