Lisu kuwa gerezani chini ya serikali ya Mama Samia kunaweza kuleta Ufa kwenye Muungano!

Benson Mramba

JF-Expert Member
Oct 29, 2013
668
1,522
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa dhana, kura za makurdi, na mtazamo wa makurdi. Kwa kiongozi yoyote ni lazima uwe makini sana kwenye mambo haya.

Juzi Mzee Paul Kimiti akiwa kwenye Kongamano la Mwalimu Nyerere Dodoma alisema kuwa Mzee Mkapa alikuwa ameshamteua awe Waziri Mkuu lakini Mwl Nyerere alimkataza na kumwambia kama unampenda Kimiti mpe kazi nyingine hamuwezi kujazana Wakatoliki watupu.

Kwa sasa Tanzania tuna Rais Mzanzibar, bahati mbaya kwa mujibu wa katiba yetu ni kuwa Rais huyu ni kama vile ni Rais wa Tanganyika zaidi maana Zanzibar wana Rais wao tayari.

Hivyo basi dhana na mitizamo ya Watanganyika dhidi ya Rais huyu ni vya kujihami zaidi. Hivyo Rais anapaswa kuwa makini dhidi ya mambo na matukio yote yanayoweza kuibua mitizamo hasi dhidi ya pande zetu mbili za muungano.

Matukio kama ya kuuzwa kwa bandari zetu, kutekwa na kuuawa bila kauli za kulaani au kubariki toka kwa Rais, kubambikia kesi zisizo na dhamana viongozi wetu wapendwa wa kisiasa mfano ugaidi, uhaini n.k, kuzuia tume huru, kujipitisha kuwa mgombea pekee wa Urais wa Tanzania/Tanganyika kwenye vikao vya chama tawala, kufumbia mambo ripoti ya CAG n.k ni hatari kwa muungano wetu maana zinaweza kushamiri dhana za Mzanzibari dhidi ya Watanganyika.

Historia inaonyesha hata Mzee Mwinyi alipotoka Kisarawe kwenda kuongoza Zanzibar alipata tabu sana hata leo mwanawe na mtoto wa Mzee Karume bado wanachuana huko.

Tuzibe ufa kabla hatujatakiwa kujenga ukuta
 
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa dhana, kura za makurdi, na mtazamo wa makurdi. Kwa kiongozi yoyote ni lazima uwe makini sana kwenye mambo haya.

Juzi Mzee Paul Kimiti akiwa kwenye Kongamano la Mwalimu Nyerere Dodoma alisema kuwa Mzee Mkapa alikuwa ameshamteua awe Waziri Mkuu lakini Mwl Nyerere alimkataza na kumwambia kama unampenda Kimiti mpe kazi nyingine hamuwezi kujazana Wakatoliki watupu.

Kwa sasa Tanzania tuna Rais Mzanzibar, bahati mbaya kwa mujibu wa katiba yetu ni kuwa Rais huyu ni kama vile ni Rais wa Tanganyika zaidi maana Zanzibar wana Rais wao tayari.

Hivyo basi dhana na mitizamo ya Watanganyika dhidi ya Rais huyu ni vya kujihami zaidi. Hivyo Rais anapaswa kuwa makini dhidi ya mambo na matukio yote yanayoweza kuibua mitizamo hasi dhidi ya pande zetu mbili za muungano.

Matukio kama ya kuuzwa kwa bandari zetu, kutekwa na kuuawa bila kauli za kulaani au kubariki toka kwa Rais, kubambikia kesi zisizo na dhamana viongozi wetu wapendwa wa kisiasa mfano ugaidi, uhaini n.k, kuzuia tume huru, kujipitisha kuwa mgombea pekee wa Urais wa Tanzania/Tanganyika kwenye vikao vya chama tawala, kufumbia mambo ripoti ya CAG n.k ni hatari kwa muungano wetu maana zinaweza kushamiri dhana za Mzanzibari dhidi ya Watanganyika.

Historia inaonyesha hata Mzee Mwinyi alipotoka Kisarawe kwenda kuongoza Zanzibar alipata tabu sana hata leo mwanawe na mtoto wa Mzee Karume bado wanachuana huko.

Tuzibe ufa kabla hatujatakiwa kujenga ukuta
Mmh
 
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa dhana, kura za makurdi, na mtazamo wa makurdi. Kwa kiongozi yoyote ni lazima uwe makini sana kwenye mambo haya.

Juzi Mzee Paul Kimiti akiwa kwenye Kongamano la Mwalimu Nyerere Dodoma alisema kuwa Mzee Mkapa alikuwa ameshamteua awe Waziri Mkuu lakini Mwl Nyerere alimkataza na kumwambia kama unampenda Kimiti mpe kazi nyingine hamuwezi kujazana Wakatoliki watupu.

Kwa sasa Tanzania tuna Rais Mzanzibar, bahati mbaya kwa mujibu wa katiba yetu ni kuwa Rais huyu ni kama vile ni Rais wa Tanganyika zaidi maana Zanzibar wana Rais wao tayari.

Hivyo basi dhana na mitizamo ya Watanganyika dhidi ya Rais huyu ni vya kujihami zaidi. Hivyo Rais anapaswa kuwa makini dhidi ya mambo na matukio yote yanayoweza kuibua mitizamo hasi dhidi ya pande zetu mbili za muungano.

Matukio kama ya kuuzwa kwa bandari zetu, kutekwa na kuuawa bila kauli za kulaani au kubariki toka kwa Rais, kubambikia kesi zisizo na dhamana viongozi wetu wapendwa wa kisiasa mfano ugaidi, uhaini n.k, kuzuia tume huru, kujipitisha kuwa mgombea pekee wa Urais wa Tanzania/Tanganyika kwenye vikao vya chama tawala, kufumbia mambo ripoti ya CAG n.k ni hatari kwa muungano wetu maana zinaweza kushamiri dhana za Mzanzibari dhidi ya Watanganyika.

Historia inaonyesha hata Mzee Mwinyi alipotoka Kisarawe kwenda kuongoza Zanzibar alipata tabu sana hata leo mwanawe na mtoto wa Mzee Karume bado wanachuana huko.

Tuzibe ufa kabla hatujatakiwa kujenga ukuta
Kwani Mbowe aliwekwa gerezani rais akiwa nani? Kuna ufa gani ulitokea kwenye muungano?
 
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa dhana, kura za makurdi, na mtazamo wa makurdi. Kwa kiongozi yoyote ni lazima uwe makini sana kwenye mambo haya.

Juzi Mzee Paul Kimiti akiwa kwenye Kongamano la Mwalimu Nyerere Dodoma alisema kuwa Mzee Mkapa alikuwa ameshamteua awe Waziri Mkuu lakini Mwl Nyerere alimkataza na kumwambia kama unampenda Kimiti mpe kazi nyingine hamuwezi kujazana Wakatoliki watupu.

Kwa sasa Tanzania tuna Rais Mzanzibar, bahati mbaya kwa mujibu wa katiba yetu ni kuwa Rais huyu ni kama vile ni Rais wa Tanganyika zaidi maana Zanzibar wana Rais wao tayari.

Hivyo basi dhana na mitizamo ya Watanganyika dhidi ya Rais huyu ni vya kujihami zaidi. Hivyo Rais anapaswa kuwa makini dhidi ya mambo na matukio yote yanayoweza kuibua mitizamo hasi dhidi ya pande zetu mbili za muungano.

Matukio kama ya kuuzwa kwa bandari zetu, kutekwa na kuuawa bila kauli za kulaani au kubariki toka kwa Rais, kubambikia kesi zisizo na dhamana viongozi wetu wapendwa wa kisiasa mfano ugaidi, uhaini n.k, kuzuia tume huru, kujipitisha kuwa mgombea pekee wa Urais wa Tanzania/Tanganyika kwenye vikao vya chama tawala, kufumbia mambo ripoti ya CAG n.k ni hatari kwa muungano wetu maana zinaweza kushamiri dhana za Mzanzibari dhidi ya Watanganyika.

Historia inaonyesha hata Mzee Mwinyi alipotoka Kisarawe kwenda kuongoza Zanzibar alipata tabu sana hata leo mwanawe na mtoto wa Mzee Karume bado wanachuana huko.

Tuzibe ufa kabla hatujatakiwa kujenga ukuta
Ufa upo tangu upuuzi huu unaoitwa Muungano kuwepo. As long as hakuna Taifa la Tanganyika ufa huu upo it is a matter of time kulipuka
 
Tuzibe ufa kabla hatujatakiwa kujenga ukuta
Bado upo kwenye "ufa"? naona wewe ni mwenda pole pole sana!
Kwa hali iliyopo sasa hivi, Tanganyika ni 'de facto' koloni; kwa maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi yoyote tunayoona yanatufaa sisi, kama ilivyo kwa Zanzibar.
Hao wenzetu waTanganyika waliomo kwenye serikali, kama mawaziri ni kama manyampala tu wanaotekeleza matakwa ya wakoloni kwa manufaa yao wenyewe..., akina Kabuti Kalamagamba; akina Kafulila na wengineo.
 
Viongozi wetu ni watu wakujisahau sana, wangekuwa na ofu ya mungu
EeeenHEeeeee! Unataka wawe na "hofu ya mungu" ya namna gani mkuu 'misasa'.
Kwani huwaoni wakishiriki katika mambo yote ya kiimani na kutoa nasaha za kiroho, kama nyakati za mfungo wa Ramadhani na Kwaresmana pasaka kama sasa?
Unataka wawe na hofu ya namna gani?
 
EeeenHEeeeee! Unataka wawe na "hofu ya mungu" ya namna gani mkuu 'misasa'.
Kwani huwaoni wakishiriki katika mambo yote ya kiimani na kutoa nasaha za kiroho, kama nyakati za mfungo wa Ramadhani na Kwaresmana pasaka kama sasa?
Unataka wawe na hofu ya namna gani?
Mkuu Kalamu, viongozi wanajisahau sana
 
Back
Top Bottom