saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 5,091
- 7,511
We mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani.Na wanavyomuogopa watakuwa wameenda kumnyonga Hadi kufa kabla kesi yake kusikilizwa
na olewenu tutawavuruga....banglesh wakubwa nyie