Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
kwa kweli hiyo line ni haramu na ya kisodoma. napata nightmare na hangover za ajabu nikiona hata zile picha kule kwa wakubwa. tafadhari jamani kaka zetu kwa nini lakini mnakosea shabaha namana hii? we umeomba ttcl unaunganishiwa unawela tigo! kwa kweli jamani hapana. mkutano umevurugwa na mamabo haya ya kuchakachua line za simu, nadhani ninahitai kupumzuka niliombee taifa letu kwa Mungu
Dada Judith sio sisi, bali ni midadi ikipanda, na hasa ukizingatia minara ya simu imekaribiana mno ndo inakuwa basi tena!